Ostrich eggs
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 638
- 453
AMENKwa hyo ukisema ukwel mchungu ni kiburi???achen yule aliyejifanya kila kitu aambiwe ukwel ili wengne wajifunze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AMENKwa hyo ukisema ukwel mchungu ni kiburi???achen yule aliyejifanya kila kitu aambiwe ukwel ili wengne wajifunze
waliopo madarakani ambao ndio wenye political will na fedha je wanataka hiyo katiba mpya ambayo itawabana wasiibe?Kwa lugha nyepesi "je uwezo wa Watu Kuisimamia katiba mpya upo?" Kama tunao uwezo tutafaidika sana na katiba mpya, lau kama hatuna watu wa kusimamia na kuitekeleza kinaweza kuwa kiroja!
Hui ndo ukweli huyo ndugu yenu Lisu dish lishayumba na kupata urais hawezi! Borq hata Samia mara mia kuliko huyo pimbi!Vp alikugonga ukajua anashindwa kumgonga mkewe????ww mjane wa jiwe????
Hao malaika anao wasimamia huko shimoni chato mbona kazi wanayo.yule baba kaburini ndiko sehemu sahihi kuweko maana kama angelikuweko mpaka leo hatujui wangapi wangebaki na mavi yao nyumbani
Watakuwa wanalima kwa maino/menoHao malaika anao wasimamia huko shimoni chato mbona kazi wanayo.
nimekushtua sana mkuuDuuuuu
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kufuata katiba vizuri kama Jk. JPM na huyu mama ndio wanoongoza kuibaragaza katibaAliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amesema ni vizuri kuwa na Katiba Mpya lakini vizuri kuwa na watu wa kutekeleza Katiba hiyo sawasawa.
Amesema hayo alipoenda kutoa maoni yake mbele ya Kikosi Kazi cha Rais, leo Mei 19, 2022 ambapo amesisitiza umuhimu wa kuwa na utawala bora Nchini.
“Tumezungumza namna ya kuongeza utawala bora, Taasisi kama Bunge, Serikali, Mahakama zote ni muhimu kufanya kazi inavyotakiwa, ndio maana miaka hii iliyopita wote tulifika mahala wote tukawa tunaogopa kusema chochote kwa kuwa kulikuwa na mtu ambaye hakuna mtu ambaye anaweza kumsikiliza,” - Profesa Assad.
Mungu alipoona habadikiki akaingilia katiMagufuli alisema hashauriki na ukimshauri ndio umeharibu!
Au umesahau mkuu!?
Na huyu mama asiobadilika shauri yake manabii tumeshanenayule baba kaburini ndiko sehemu sahihi kuweko maana kama angelikuweko mpaka leo hatujui wangapi wangebaki na mavi yao nyumbani
Utadhani ana PhD ya political science, hadi leo analia lia na nafasi ya CAG? Mbona halilii nafasi yake UD? Nilishamuona ni mtu wa hovyo tu! always comments zake zinazuiliwa na mambo ya kidini. Ni mdini.
Ametuachia kero ya wajane huku jukwaani wanasumbua kila siku wako heat Kama fisi maji( mda wote wanataka kipgwa show)Watakuwa wanalima kwa maino/meno
Sasa hapa umeongea nini? Au ni chuki kwa Profesa ama ni mada isiyokufurahisha?Huyu mzee anasononeko la moyo mpaka linamkereketa.huyu Mzee anatakiwa kukubali Rais ni cheo kikubwa Sana na anakuwa anajidhalilisha kuzungumzia kitu kinachomtesa.
Sisi tunaangalia maudhui ya hoja ya profesa. Huyo anaeona ni masononeko akafukue shimo Chato amshitaki pofesa.Sasa hapa umeongea nini? Au ni chuki kwa Profesa ama ni mada isiyokufurahisha?
Kama anasononeko, kitaalam njia pekee ya kumwepusha na madhara makubwa yatokanayo na sononeko hilo ni kulisema linalomsononesha kwa uwazi na kulitafutia ufumbuzi.
Kwa hoja yako hiyo ukajielimishe tena
Pole sanaSubiria mpya itakuletea ugali mezani 😄😄
Kwa mujibu wa katiba ya URT. halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule! Pigia mstari halazimikiMtu anapotoa ushauri sio lazima utekelezwe.
Kwahiyo kusema mtu hashauriki wakati ana uhuru wa kupokea au kutopokea ushauri ni kumnyima haki ya kufanya maamuzi.