Haka kajitu polepole kenyewe sasa ni kafisadi kamekula pesa za CCM kwenye udalali wa ununuzi wa wapinzani na kurudia chaguzi kwa gharama kubwa pesa ambazo zingeweza kujenga daraja tokea Dsm mpaka Zanzibar , ununuzi wa wapinzani umeigharimu Taifa pesa nyingi
Watanzania wanajua ukweli kuwa ununuzi wa Ndege kuna ufisadi wa kutisha hakuna mtu atathubutu kuitisha wandishi kukanusha hiloIta waandishi zungumza mbele yao ujinga wako huu
Ukila sahani moja na wanyang'anyi na wewe ni mmoja waoUsikariri, gari ikiwa inarudi nyuma unatakiwa udandie mbele, na ikiwa ianenda mbele dandia nyuma... Ukikariri kudandia ni nyuma tu siku utakutana nayo inarudi nyuma ufe..
Wakati akiwa huko, kuna pahala panaposema yeye ndo kaiba?
Acha upotoshaji ww... kama hivo ni kweli report ya CAG Kachere ingeonyesha hivo. Lakini hakuna mahali waliposema kuna hela zimeliwa. Kuwa na adamu wwHakuna shirika linanunua Ndege kwa cash kote wanakopa isipokuwa Tanzania kulikuwa na wizi mkubwa magufuli na kikundi chake wakapiga 10% cha juu kwa cash kwani Bei halisi ya Ndege ni tofauti na bei waliyoitangaza na ndiyo maana magufuli hakutaka CAG asogee kwenye ununuzi wa Ndege kwa sababu alijua ataumbuka haraka
Si lazima...Ukila sahani moja na wanyang'anyi na wewe ni mmoja wao
Kuijua IPSAS kwako umeona unajua kila kitu. No wonder.Utatifuana na nani wewe usiyejua hata IPSAS ni nini.
Komaa kula mabuyu tu jomba.
Ndio,ikiwemo bei ya lita 1 ya mafuta hahah.Kuijua IPSAS kwako umeona unajua kila kitu. No wonder.
Mimi nawambia watu kwamba hizi story za ndege sijui rocket na mahesabu ya ma trilioni na bilioni
Hatuyaelewi wala mmakonde wakule ndani hawezi yaelewa,ila akili ya mmakonde wa kule ndani ndani
linapokuja swala la kuchagua Rais wa kweli na asiebahatisha "akili zinarudi na zinakuaga level 1" endeleeni
kumnyooshea Vidole JPM,utendaji wake,mawazo yake,nk ila kwenye sanduku la kura mmakonde huwa hakoseagi hata siku 1.
Kwa certificates zenu za NBAA.Ndio,ikiwemo bei ya lita 1 ya mafuta hahah.
kwahiyo kile kimombo chake ndio cha hadhi ya profesa? yule sio msomi, amezidi uana harakati. ana hasira na sio wa kuaminika kwenye sector ya umma. ze ze kibao, anachanganya tenses balaa.Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.
Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.
Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?
Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?
Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.
Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.
Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?
Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?
firm orders, purchase, deals etc ni maneno yaliyotumika sana katika quote uliyoonyesha hapo juu. Ni yapi yana maana ya kukopa na yapi yana maana ya kulipa taslimu.
Soma hapo ujue Eithiopia Airline wanamiliki ndege ngapi walizonunua cash na order walizoweka kwa cash kuletewa ndege na ambazo wamekopa/lease.
Halafu mtu anakuja kuropoka eti kununua cash ni ukichaa.
Ukisoma huo mjadala wewe unaelewa nini mkuu?firm orders, purchase, deals etc ni maneno yaliyotumika sana katika quote uliyoonyesha hapo juu. Ni yapi yana maana ya kukopa na yapi yana maana ya kulipa taslimu.
Kwa bahati mbaya pia link ya kwanza ya guardianjet haifunguki sijui kwa nini. Anyway nimegoogle na kuipata na kukuta ni mjadala mkubwa. Naweka hiyo link tena Best Way to Buy an Aircraft: Cash vs Leasing vs Financing - Blog post by Guardian Jet
Report ya CAG imechakachuliwa kulinda fedheha za nyinyi wanufaika wa udikiteta wa marehemu magufuliAcha upotoshaji ww... kama hivo ni kweli report ya CAG Kachere ingeonyesha hivo. Lakini hakuna mahali waliposema kuna hela zimeliwa. Kuwa na adamu ww
Unafiki unao wewe mbweha kwani wewe ndiyo unakuja na mifano ya kijuha kwa vigezo haramu vya kishamba, wakati akiwa Hai walithubutu kusema lakini walibambikiwa kesi, wakaporwa mali zao kufungiwa Account zao, ubabe wenu wa kipumbavu ndiyo umempelekea laana huyo boss wako akafariki, acha ujingaMbwa nyie na wanafiki mna Bahati kiboko yenu hayupo , magufuli kaondoka ndo mnajifanya kufungua midomo yenu kama mngekua wanaume kweli mngeropoka wakati yupo hai mbwa nyie magufuli aliwanyoosha Manina zenu sasa hiv ndo mnajitia mna sauti wanafiki nyie ... ila marehemu alijua kuwanyoosha mbwa nyie ***** zenu
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.
Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.
Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?
Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?
Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.
Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.
Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?
Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?
Unataka afiche maovu unyanyasaji uonevu mateso udikiteta wa marehemu magufuli ili iweje? Kwa manufaa ya nani? au ni Kwa manufaa yako wewe mnufaika wa udikiteta wake?Ana chuki za kipumbavu Sana huyu msomi wenu,Sasa ndio Nini kupambana na Marehemu???
Jibu hojaHata mimi nimeshangaa sana eti Prof. anaongea uongo wa wazi kiasi hicho!!! Lakini sishangai huwa ananunuliwa kirahisi sana nakumbuka alipokuwa Mwenyekiti wa Bodi ya NBC alishindwa kusimamia Benki ya NBC kiasi akafikia kutaka kufirisika kabisa kwa mbinu za Barclays ambao walikuwa main shareholder kwa kutumia mtindo wa kuongeza expenditure on the system background na yeye kutitwa South Africa na kupewa vipesa kiduchuuu. Lakini baada ya kuondolewa kwenye Uenyekiti NBC ikaanza na kupata faida. Nashangaa kujiona anajua sana kila kitu wakati hakuna chochote ambacho alishawahi kuongoza taasisi yoyote ikafanikiwa hapa nchini.