Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Unaacha vijana hawana kazi, malaki hawana skills unaenda kutumia mabilioni kununua ndege ili nawewe ujulikane una ndege lakini faida yake kipesa itaonekana wewe ukitoka madarakani

Kulikuwa hamna upungufu wa ndege nchini ndege za kampuni binafsi na za nje zilikuwepo. Angetaka ndege za ujiko Na kazi maalum asingezidisha 3
 
Unaacha vijana hawana kazi, malaki hawana skills unaenda kutumia mabilioni kununua ndege ili nawewe ujulikane una ndege lakini faida yake kipesa itaonekana wewe ukitoka madarakani

Kulikuwa hamna upungufu wa ndege nchini ndege za kampuni binafsi na za nje zilikuwepo. Angetaka ndege za ujiko Na kazi maalum asingezidisha 3
Ukiajiri bila ya kuwa na mapato utawalipa nini hao vijana? Au unafikiri pesa ya kununua ndege ingetosha kuwalipa hao vijana miaka yote? Lazima uwekeze kwanza ili uwe na mapato ya kuwalipa hao vijana unaowasema lasivyo utawalipa mara moja then unakaribisha migomo ya hao waajiriwa na kuleta vurugu tupu.
 
Wewe Hakimu Mfawidhi nilidhani na wewe una akili timamu kumbe na wewe ni mtu wa hovyo kabisa. Kwanza kabisa, Aircraft Couriers nyingi duniani hazimilikiwa na serikali kwa asilimia 100%. Halafu pili wanaonunua ndege kwa pesa taslimu wengi wao ni mashirika binafsi (Aircraft Financing Corporation or Privately Owned Civilian Courriers) ambayo hufanya hivyo kwa lengo la kutengeneza mikataba ya utumiaji (Aircraft Lease Agreement) na wateja wengine au nchi ambao (The Lessee) na siyo serikali.

Ukienda kule Ireland makampuni mengi yana miliki ndege lakini siyo kwa lengo la usafirishaji peke yake bali kuazimisha kwa wateja mbalimbali. Lakini kubwa Upright Purchase huwa inafanywa na mashirika makubwa binafsi yenye mizizi mirefu kwenye biashara ya usafiri wa anga. Hebu wacha hizi mambo za kushabikia upuuzi na ujinga, yaani unasoma kitaarifa kimoja huko mtandaoni halafu unahisi ushakuwa Guru......
Eithiopia airline wanaponunua cash wao ni shirika binafsi?

South Afrika Airline wana ndege 8 kama sijakosea ambazo walinunua cash, je hao ni shirika binafsi?
 
Kuna watu bhana wamejaa unafiki licha ya biblia,quran na mavazi yao yanayoakisi uchaji wa Mungu wao.

Baada ya kuona camera zinakumulika umeamua kutumia IST ili uonekane ni mtu mwadilifu sana kumbe ni nafiki kubwa lililojaa ujuaji wa kijinga tu na chonganishi!

"Wanaotumia IST wanawake" Ukaona utumie kauli ya mjinga mwenzako ili uonekane mwema kumbe nafiki.

Sasa kama ungekuws mwadilifu kwanini umepokea hela ili uchonganishe watu?

Kama hujaelewa halikuhusu...pita kushoto nenda zako!

Uzi tayari
Warundi bwana!!!!!!!
 
Unaacha vijana hawana kazi, malaki hawana skills unaenda kutumia mabilioni kununua ndege ili nawewe ujulikane una ndege lakini faida yake kipesa itaonekana wewe ukitoka madarakani

Kulikuwa hamna upungufu wa ndege nchini ndege za kampuni binafsi na za nje zilikuwepo. Angetaka ndege za ujiko Na kazi maalum asingezidisha 3
Kqma serikali isipotafuta namna ya kujiongezea mapato unadhani ajira zitatoka wapi ndugu yangu. Kila siku tunataka serikali ituajiri wakati inafanya jitihada za kuongeza mapeto, sisi tunailamu tena serikali kwanini inafanya hivo. Ukiwa na njaa hatukupi chakula bali jembe ukalime ili upate chakula cha kujitoshelesha ili usiwe omba omba
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Sasa wewe zezeta mmoja unakaa kwa Shemeji unaweza mzungumzia vipi Assad? Ungeweka Takwimu si kubwabwaja.. tu kisa Kumtetea hilo jizi la kisukuma..

Weka Hoja Acha kuleta vitu personal hapa.
 
Yani bora limeenda tu na halirudi tena. Ingewezekana kabla ya kuzikwa wangechukua sampuli za ubongo wake waende maabara kupima na kutafiti jamaa liliumbwaje na kuwa natabia ya hovyo na ya kukera ili asije kutokea Rais mwengine wa hovyoooooooo.
Kwahiyo inawezekana tatizo ni Mungu maana ndio tunaambiwa anaumba binaadamu hivyo inawezekana kuna tatizo kwenye uumbaji?
 
Ungetaja mashirika ya ndege yaliyonunuliwa cash ndege zake Sio blahblah.

ni nadra sana kukuta mtu kakopa kununua ndege unless ni biashara inaokufa lakini mashrikia karibia yote wananunua cash kuanzia emirates mpaka precision air!
 
Kuna ubaya wa kuwa na chuki binafsi kwa maslahi mapana ya taifa????
Ukiwa unamchukia mtu huwezi kuona zuri lake hata kama lipo kweli na kwa sababu kinacho kusukuma ni ile chuki basi kile utakachokieleza utakieleza si kwa njia ya kukosoa bali kwa njia ya kuonesha picha mbaya kwa huyo unayemzungumzia. Kwahiyo tatizo sio kuwa na chuki binafsi kwa mtu bali ni kutumia hiyo chuki binafsi kutaka na wengine tumuone huyo mtu mbaya kisa tu wewe unamchukia.
 
mbona Emirates wana nunua ndege kwa cash pia saudia arabia airline by cash qatar air line pia wanunua cash
 
Unaacha vijana hawana kazi, malaki hawana skills unaenda kutumia mabilioni kununua ndege ili nawewe ujulikane una ndege lakini faida yake kipesa itaonekana wewe ukitoka madarakani

Kulikuwa hamna upungufu wa ndege nchini ndege za kampuni binafsi na za nje zilikuwepo. Angetaka ndege za ujiko Na kazi maalum asingezidisha 3

izo ajira znatoka wap bila kuwekeza? hata hao wanaoendeesha izo air tanzania unadhan hawajafurahi kupata izo ajira?
 
Wewe Hakimu Mfawidhi nilidhani na wewe una akili timamu kumbe na wewe ni mtu wa hovyo kabisa. Kwanza kabisa, Aircraft Couriers nyingi duniani hazimilikiwa na serikali kwa asilimia 100%. Halafu pili wanaonunua ndege kwa pesa taslimu wengi wao ni mashirika binafsi (Aircraft Financing Corporation or Privately Owned Civilian Courriers) ambayo hufanya hivyo kwa lengo la kutengeneza mikataba ya utumiaji (Aircraft Lease Agreement) na wateja wengine au nchi ambao (The Lessee) na siyo serikali.

Ukienda kule Ireland makampuni mengi yana miliki ndege lakini siyo kwa lengo la usafirishaji peke yake bali kuazimisha kwa wateja mbalimbali. Lakini kubwa Upright Purchase huwa inafanywa na mashirika makubwa binafsi yenye mizizi mirefu kwenye biashara ya usafiri wa anga. Hebu wacha hizi mambo za kushabikia upuuzi na ujinga, yaani unasoma kitaarifa kimoja huko mtandaoni halafu unahisi ushakuwa Guru......

malcom wewe ndio kichaa wa kuokota makopo: hujui nchi zinazomiliki ndege serikali yenyewe ndio inayomiliki sio makampuni: 1: dubai ndege zinamilikiwa na serikali 2 : alitihad air line abudhabi uae inamilikiwa na serikali 3: saudi arabian air line inamilikiwa na serikali nahisi china air line pia serikali
 
Mtu gani huyu eti Prof. Amesubiri Mwendazake kaaga Dunia ndio amekua kifutu anajitutumia kubishana na kutukana Marehemu.
Hasira zake zinatokana na nini hasa amejaa sumu namna hii, kimsingi Watanzania waliiona nia njema ya Rais Magufuli na wakampa heshima katika Safari yake ya mwisho. Hilo litoshe kua pigo takatifu kwa wanafiki wote na wazandiki wa wanaotaka mtazamo wao ndio uwe maoni ya Watu wote.

Tunaendelea kua na imani na Mwendazake haijalishi watambagaza kiasi gani.

Asante John.
Pumzika kwa Amani.
Hakuwa na mipango, alikurupuka na zaidi alikuwa na malengo ya kujitafutia sifa binafsi kwa gharama ya Taifa zima na watu wake ambao wengi wanaishia katika umasikini .
 
Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi? Pathetic profools, nilikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki.
We ndio pathelic mkopo wowote ule una masharti na kwa kitu km serikal lazima iwe na vipaumbele sasa km jamaa kakopa pesa for basic needs afu kanunua ndege cash ww unaona ni sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom