Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Wewe zwazwa mashirika mengi ya ndege yanatengeneza hasara consecutively hata kwa zaidi ya miaka 10, hiyo pesa ya kununua ndege cash wataitoa wapi? mashirika mengi hata yale makubwa yanayoweka order ya ndege nyingi lazima yanafanya lavarage ya gharama za uendeshaji kwa kukopa ndege na kulipa kwa installments kadri yanapokuwa yanafanya biashara, yangekuwa yananunua ndege cash hasara zingekuwa kubwa na wasingeweza ku maintain operations....
 
Huyu porofesa anajulikana kwa ufisadi alioufanya NSSF kipindi cha Dau.

Sio msafi at all,ni wale wale wapigaji kama hakina Said Bagaille.
 
Amshasutwa na kicho kipenger alichoweka huyo mtoa maada, na kama wewe nae unacho kingine weka hapa vinginevyo orof asaad ni tapeli hadi kwa mungu.
Aje hapa nae ajibu manunuzi aliyofanya akiwa CAG na safari alizopanga bia impact kwa nchi na bila kufuata utaratibu.
Em edit na uandike vizuri... Maana sijaelewa uandishi huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu porofesa anajulikana kwa ufisadi alioufanya NSSF kipindi cha Dau.

Sio msafi at all,ni wale wale wapigaji kama hakina Said Bagaille.
Hivi kwanini uhuru wa vyombo vya habari uliminywa na mtu kutaka serikali isemwe kwa mazuri tu bila kukosolewa!?
"You are not free to that extent" maneno ya nani akiashiria nini?

Kuweni na utu na aibu, haya uyasemayo ni kwakuwa palikuwa na uhuru wa kuhoji na kuwaweka wazi waTanzania ma wakati huo ukihitaji 'data' kwa wizara/sehemu yoyote unapata na kuiweka wazi kwa wazalendo wote na si wazalendo uchwara

Jishughulishe kufikiri kidogo basi kama, JK angeamua kuficha mambo kama kipindi hiki hivi si angeitwa Malaika au?
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Kuna watu wakisikia mtu ni profesa basi wanadhani yuko very exceptional kumbe hivyo ni vyeo vinavyotokana na mtu kufundisha chuo kikuu ambapo ziko ngazi tano sawa na mtu aliyeajiliwa serikalini ambaye naye ana ngazi tano za kupanda madaraja.
Ingawa kwa wahadhiri mtu akiwa na Phd anaanzia lecturer kisha kama akipublish papers kadhaa na au kufanya consultancy hupanda kuwa senior lecturer na baadae associate professor na kisha professor. Kwa hapa kwetu paper sio kama zile zunazoibua mambo mazito kama zile paper za wahadhiri wa US na Ulaya ambapo mtu anaweza kuibua theory au ugunduzi wa kitu au njia ambayo inachangia katika kuongeza knowledge katika taaluma yake. Pia mhadhiri akigundua kitu anaweza kurushwa haya madaraja na kuwa professa moja kwa moja.

Hushangai hapa jf huu utumbo maprofessa wetu wanaosema ambapo hata mtu wa darasa la saba anaona kabisa wako wrong!
 
Ni dhahiri atakuwa alikuwa anafanya kazi kwa kutumwa na JPM akamshtukia! Hata kujitokeza sasa kaburi likiwa bado bichi ni dhahiri hafanyi haya kwa dhamiri yake bali kutumwa! Bora angekaa kimya tubaki na nadharia zetu kumuheshimu!
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Prof kasema kweli Tupu, Nchi gani Duniani iliwahi kununua ndege zake cash ? Hivi unajua gharama ya ndege mpya wewe?
Anyway ni kwa sababu Magufuli alinunua ndege used ndo maana,ndo maana zingine zipo grounded
 
Unanunuaje cash wakati wafanyakazi wako umewakazia more than 5 yrs hakuna nyongeza, vijana ajira hamna, amesema cash ina matumizi yake kwa issue kama hzo unapiga mkopo, hakuna haja ya kulaza njaa watu alaf unaenda kununua Boeing Kwa keshi unakuja kuliweka ardhini haliendi popote linakula hela ya maintenance, huku vijana mtaani wanakomaa na vibanda umiza, kwa dharau unawaambia wajiajiri na unasepa chato kutengeneza uwanja wa ndege wa kimataifa.

Serikali ya Pombe imekopa 1.2 Trillion kutoka World Bank kwa ajili ya ujenzi wa madarasa alafu at the same time serikali ya Pombe imenunua ndege kwa cash sh. 1.5 Trillion most of them zipo ground zinanyewa na popo huku fast jet ipo out of action.....Alaf Mimi msinikumbushe habari za jiwe kabisa aisee...the worst president ever

View attachment 1749154
Tanzania ilipata mkosi mkubwa sana mwaka 2015
 
Ukimsikiliza prof. Assad utaelewa kuwa alikuwa bitter, angeweza hata kusema, "anayenunua ndege cash ni m**nge" sema tu mazingira hayafai. He's bitter with Magufuli regime, unajua kuna wale wametoa constructive criticism kama Zitto, Ila prof yeye ameonyesha chuki ya wazi kabisa. Asamehewe tu!
 

Soma hapo ujue Eithiopia Airline wanamiliki ndege ngapi walizonunua cash na order walizoweka kwa cash kuletewa ndege na ambazo wamekopa/lease.

Halafu mtu anakuja kuropoka eti kununua cash ni ukichaa.
Tanzania mna ndege gani ya kufananisha na ndege za Ethiopia Airline?
Halafu ni Bunge lipi lilimruhusu Jiwe anunue hizo ndege?
Jiwe ni jizi la majizi hapa Duniani.
 
Back
Top Bottom