Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Unanunuaje cash wakati wafanyakazi wako umewakazia more than 5 yrs hakuna nyongeza, vijana ajira hamna, amesema cash ina matumizi yake kwa issue kama hzo unapiga mkopo, hakuna haja ya kulaza njaa watu alaf unaenda kununua Boeing Kwa keshi unakuja kuliweka ardhini haliendi popote linakula hela ya maintenance, huku vijana mtaani wanakomaa na vibanda umiza, kwa dharau unawaambia wajiajiri na unasepa chato kutengeneza uwanja wa ndege wa kimataifa.

Serikali ya Pombe imekopa 1.2 Trillion kutoka World Bank kwa ajili ya ujenzi wa madarasa alafu at the same time serikali ya Pombe imenunua ndege kwa cash sh. 1.5 Trillion most of them zipo ground zinanyewa na popo huku fast jet Kwa hujuma ipo out of action.....Alaf Mimi msinikumbushe habari za jiwe kabisa aisee...the worst president ever

View attachment 1749154
Approx 100 likes in 12 hours. Ujue watu wanafuatilia topics za JF Great Thinkers. [emoji16][emoji16]
 
Naomba niku ignore kama mwenzio, soma between the lines halafu ndio uje hapa ondoa mihemko na uokotolezi wa quotation/s ambazo hujatuliza kifikicho chako

Nakupita kushoto
Ni kwa sababu ya uzwazwa wako kwa hiyo huwezi kutetea hoja zao zaidi ya kudindia hovyo. You are useless
 
Cheki sasa akili nyingine hii,unalinganisha ndege za matrilion vs mafuta ya kula lita 1?

Akili za kimaskini ni noma sana.
Of course familia yangu ni ya kimasikini, ndio maana kwangu sina wazo la kununua hata gari kwa cash sembuse ndege!, ila kumwambia bibi na shangazi zangu ni wajinga kwa kuweza kununua wanachokiweza, wewe na huyo aliyesema tutatifuana.
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Acha Blaah Blaah hapa kama ni muongo toa reference ya hayo mashirika au nchi zilizonunua ndege kwa cash
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Hivi wewe unajua maana ya maneno "outright purchase"? kwa nini hutafuti maana yake kwanza kabla ya kuja hapa na kujaribu kumdhalilisha mtu?
 
Kasema kununua Airline kwa kutumia Taslimu.

Kwasababu inapoingiza fedha deni linalipwa.

Taslimu ziingizwe kwenye Elimu Afya ya Jamii na Miundombinu ya kuunganisha Vijiji kwa Vijiji.
Mkuu vipi isipoingiza? Tulinunua dunia ikapatwa na majanga ya coronavirus...
 
Wewe Hakimu Mfawidhi nilidhani na wewe una akili timamu kumbe na wewe ni mtu wa hovyo kabisa. Kwanza kabisa, Aircraft Couriers nyingi duniani hazimilikiwa na serikali kwa asilimia 100%. Halafu pili wanaonunua ndege kwa pesa taslimu wengi wao ni mashirika binafsi (Aircraft Financing Corporation or Privately Owned Civilian Courriers) ambayo hufanya hivyo kwa lengo la kutengeneza mikataba ya utumiaji (Aircraft Lease Agreement) na wateja wengine au nchi ambao (The Lessee) na siyo serikali.

Ukienda kule Ireland makampuni mengi yana miliki ndege lakini siyo kwa lengo la usafirishaji peke yake bali kuazimisha kwa wateja mbalimbali. Lakini kubwa Upright Purchase huwa inafanywa na mashirika makubwa binafsi yenye mizizi mirefu kwenye biashara ya usafiri wa anga. Hebu wacha hizi mambo za kushabikia upuuzi na ujinga, yaani unasoma kitaarifa kimoja huko mtandaoni halafu unahisi ushakuwa Guru......
Issue kasema hakuna anaenunua ndege Cash, sasa mara ya kusema sijui makampuni yenye mizizi yake hiyo ni yako, na ndio maana mimi sina uprofesa ila nahisi huyo profesa wenu hayupo timamu kichwani
 
Hakuna shirika la ndege linaloongozwa na wataalam wa Aviation wanaonunua ndege kwa cash!!!! Ni nchi ya JIWE peke yake kwavile shirika linaendeshwa kisiasa!! Ndio maana Wazungu walipogundua ujinga wenu wakawasukumizia mnunue ndege nyingine mpya wakati mashirika ya ndege duniani yalikuwa yanauza ndege zao kupunguza hasara!!

Ndege isiporuka na kukaa ardhini ujue inatengeneza hasara, ndege inatakiwa iwe hewani wakati wote ili itengeneze faida. Ndege ikiwa imekaa ardhini ni wakati wa matengenezo tu!! Lakini we nenda pale JNIA utakuta ndege za ATCL zimepark!!!
 
Hakuna shirika la ndege linaloongozwa na wataalam wa Aviation wanaonunua ndege kwa cash!!!! Ni nchi ya JIWE peke yake kwavile shirika linaendeshwa kisiasa!! Ndio maana Wazungu walipogundua ujinga wenu wakawasukumizia mnunue ndege nyingine mpya wakati mashirika ya ndege duniani yalikuwa yanauza ndege zao kupunguza hasara!!

Ndege isiporuka na kukaa ardhini ujue inatengeneza hasara, ndege inatakiwa iwe hewani wakati wote ili itengeneze faida. Ndege ikiwa imekaa ardhini ni wakati wa matengenezo tu!! Lakini we nenda pale JNIA utakuta ndege za ATCL zimepark!!!
Mungu ametusaidia sana
 
Kasema kununua Airline kwa kutumia Taslimu.

Kwasababu inapoingiza fedha deni linalipwa.

Taslimu ziingizwe kwenye Elimu Afya ya Jamii na Miundombinu ya kuunganisha Vijiji kwa Vijiji.
Airline ni nini alimaanisha?
Bavicha ni shida
 
Hakuna Prof Mwongo Kama Assad.. Ukiona mtu anaanza kwa maneno ya dini na sala ujue ni tapeli
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

 
Kumbuka huyu bwana alitekwa na Wasiojulikana wa Magufuli kabla ya kuachiwa baada ya kelele kila mwanadamu ana nyongo
Alipokanusha mwenyewe kuwa hajatekwa, hukumsikia au uongo ndo mmeweka mbele?
Taarifa zenu nyingi ni za uongo.
 
Nimeamini mwamba JPM alikuwa anaogopeka balaa, huyu jamaa alikuwa kimyaaa leo baada ya mwamba kuondoka ndiyo anabwabwaja.
 
Sasa na wewe unaacha kuleta ushahidi wako ukauelezea kwa mapana yake unamshambulia profesa.

Kwa mujibu wa maelezo yako, wewe, mwendazake na profesa wote mpo kapu moja "VICHAA"
 
Back
Top Bottom