Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohooooMATAGA hao!
duh aisee ,ndugai kama ndugai na hivi hakuna tena wakumlipia mihela ya kugemwa damu yenye wadudu kuwekewa mpya tutaona mengi ni suala la muda tuHuyo huyo!View attachment 1748608
Huu ujumbe ni kwa Ndugai na genge lakeAliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad amesema, watu wenye tabia ya kuunga mkono kila wakati ni wasaka fursa na hawana msaada wowote katika nchi. "Kuna watu waliunga mkono na sasa wanaunga mkono tena vitu ambavyo haviendani, ni wasaka fursa tu hao, hawatusaidii chochote.
Nchi inahitaji watu wenye fikra tunduzi ambao wakati ule walisema kitu kile na sasa wanasema vilevile na wataendelea kufanya mambo sahihi"Prof Mussa Assad CAG Mstaafu, Prof. Mussa Assad amesema msisitizo zaidi unatakiwa kuhakikisha wanasiasa hawawi kwenye bodi za wakurugenzi wa taasisi kama ambavyo utaratibu unataka.
Amesema katika moja ya taasisi alizowahi kuongoza, mbunge alikuwa mjumbe wa bodi, lakini hakuwa anachangia chochote "Ndiyo maana nasema tuanze upya tuanze na hao wachache ambao wanakwenda vizuri, hilo pia ni somo kwamba ambao nao 'in the future' (baadaye) watakuwa wa ovyoovyo, dawa yao hiyo ya kuwaweka kando na kuanza upya,"amesema Profesa Mussa Assad. "Viongozi wengi sio wazuri au hawakidhi kiwango kinachohitajika, tatizo langu ni moja tu inapofika mahali unaona mtu anakosea na huwezi kusema kama mtu anakosea, umefika mahali pabaya sana," Profesa Mussa Assad
Social-#MwananchiUpdates
Mkuu waislamu wana nafuu sana wanaweza kuongoza sisi wakristo tuna kuwa wakali sn kupita kiasi bila sababu za msingiHuyu Prof. angekuwa ndiyo Rais, huenda tungepiga hatua kubwa sana kiuchumi. Hofu yangu kwake ingekuwa sehemu moja tu. Na sitaitaja.
hii ni fact man. ukali wetu umepitilizaMkuu waislamu wana nafuu sana wanaweza kuongoza sisi wakristo tuna kuwa wakali sn kupita kiasi bila sababu za msingi
Badala sisi tuwe wanyenyekevu kama alivyo Bwn Yesu Kristo sisi ni wababe kupita kiasihii ni fact man. ukali wetu umepitiliza
CCM wametuharibia sn nchiprof amelipua wana siasa wote wa tanzania. and yes ni watu wa kukubali kila kitu. inategemeana na upepo.