Profesa Assad: Wanaounga mkono kila kitu ni wasaka fursa

Huyu Prof no m2 firm Sana na ndiye m2 pekee aliyempa jiwe wakati mgumu Mana alikuwa anasimamia utaalamu wake cjajua hao wengne Kama yye njaa wanaitoa wapi Hadi kuwa mazezeta.
 
Wewe umeacha kuunga mkono kila kitu?
 
Wewe umeacha kuunga mkono kila kitu?
Tulipoambiwa Mamv ni fisad tukaunga mkono,yule mwingine tukaambiwa ni kiongoz dhaifu tukaunga mkono,ilipotajwa list ya fisad tukaunga mkono,wale waliotajwa kwenye list ya mafisad walipokuja kwetu tuliwaunga mkono,yule shujaa wetu tulipoambiwa anapelekeshwa na mkewe tukaunga mkono,yule tuliyemnanga kuwa fisad alipokuja kwetu na kuwa mgombea tulimuunga mkono,hata sisi ni vigeugeu tunapaswa kujitafakar.
 
Namfahamu Asad kikamilifu. Yeye ni muumini mzuri wa imani yake lakini siyo mdini. Hajawahi kuonesha hilo akiwa lecturer UD wala akiwa CAG wala mahali pengine popote. Ni mtu mwema sana na asiye na makuu.

Mimi siyo muumini wa dini yake, lakini nathubutu kusema kuwa kama waumini wote tungekuwa waaminifu kwa imani zetu kama huyu bwana, Duniani pangekuwa mahali pema sana kwa kila mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…