Kwa mauaji haya Mke wake wa mwisho anatakiwa achunguzwe, waende pale bunju A police, wanaweza kumjua kwa kupata habari zake, mara kwa mara warikuwa wakikwaluzana sana , kuna wakati pale Bunju A Shule mkewe huyu marehemu aliwahi kumtolea bastola mhudumu mmoja pale Bar inaitwa Kibira , mhudumu anaitwa Amina akimtuhumu kwa kumchukulia mme, huyu mzee sio wa kawaida kwa vitoto, huenda ni oja na visasi maana ana ka ukorofi kidogo, hata akiingia bar dakika kidogo ni lazima umjue tu kwa mbwembwe zake hasa anapotokea mademu, namkumbuka kama miezi tisa hivi aliwahi kuzuia njia ya kuingilia bar akaweka gari yake Gx110 inayoanza na T.... CCC ya rangi ya blue. Watu walilazimika kutumia mjia nyingine huku wakilalamika kimya kimya kuwa La Profesari kaziba njia ili aonyeshe kifaa kipya(gari) tunasikitika kwa kuwa tumepoteza mtu muhimu katika jamii pamoja kupoteza kipenzi cha Asenal.