mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Umemshambulia Bure kuwa na akili sio lazma uwe na one au first class.Off point, out of Context and you must be a very Short Sighted Creature wasting your time on Earth.
"Sasa ifike muda tuambiane Ukweli nashauri kuanzia sasa Watu wanaoajiriwa katika haya Majeshi yetu ya Polisi na Jeshi la Wananchi wawe ni wale tu waliofaulu kwa Division One Shuleni au First Class Degree Vyuo Vikuu na tuachane Kuajiri Failures katika hizi Taasisi kwani hawataweza Kusaidia kufanya Tafiti za Kisasa za Kijeshi, kuwa Wabunifu Kimedani na Kushindana na Wenzao wengine ambao wameshatuacha na huenda wanatushangaa pia", amesema Profesa Elifas Bisanda ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Vyuo Vikuu vya Polisi na Jeshi na pia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria.
Chanzo: Millard Ayo
Haya Wazandiki si huwa mnajifanya Kutuchukia na hata Kututishia akina Mightier na JamiiForums Great Thinkers tukisema haya? Sasa mchukieni basi na huyu Profesa Bisanda kwa huu Ukweli wake mtupu.
Japo wanaficha na Ushauri waliopewa katika Ziara zao huko nchini Rwanda, ila Wafuatiliaji wa Mambo magumu na mazito tumeambiwa kuwa hata IGP Sirro na CDF Mabeyo walipoenda ( walipotembelea ) Rwanda waliambiwa hivi hivi kuhusu Taasisi zao kama ambavyo Profesa Bisanda ameshauri.
Tanzania inahitaji Maprofesa Makini na very Intelligent kama huyu Elifas Bisanda na kwa haya Madini yake popote alipo ( ulipo ) Mightier nakuamkia Shikamoo na hakika ulistahili kuwa Profesa na umeupiga mwingi sana juu ya
Acha usnich Arif wewe si ndio ulipandisha Uzi kuhusu vijana wa Diwani kua zero brain Kwa kuleta mbwembwe kwenye mabaa au umejisahauFuta ujinga wako TISS iko vyema na naomba usi ifananishe na hayo makolokolo ambayo yako chini ya afande SIRRO.
TISS ina watu smart sana tofouti na watu wanavyowachukulia na kipimo sahihi ni vetting wanayofanyiwa hadi kuwa recruited, kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani pia katika idara ya usalama kuna wachache ambao huaribu sifa ya idara hii iliyojaa watu makini kwa matendo yao mabovu.Acha usnich Arif wewe si ndio ulipandisha Uzi kuhusu vijana wa Diwani kua zero brain Kwa kuleta mbwembwe kwenye mabaa au umejisahau
TISS wafanye vetting process ya kutosha waache kuajiri UVCCM vilaza au wale kina kamlete!
Huna unachokijua ni Kheri tu Ukanyamaza sawa?TISS ina watu smart sana tofouti na watu wanavyowachukulia na kipimo sahihi ni vetting wanayofanyiwa hadi kuwa recruited, kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani pia katika idara ya usalama kuna wachache ambao huaribu sifa ya idara hii iliyojaa watu makini kwa matendo yao mabovu.
Nimeshakutana na watu wanafiki humu jukwaani ila wakukuzidi wewe hajatokea badoFuta ujinga wako TISS iko vyema na naomba usi ifananishe na hayo makolokolo ambayo yako chini ya afande SISIRRO.
Objection, eleza unachokijua wewe sasa kama sio wivu unaokusumbua.Huna unachokijua ni Kheri tu Ukanyamaza sawa?
Mightier umesoma maoni haya ya huyu member? Hata mimi nakubaliana naye kwa asilimia zote. Nitafafanua: Siyo kwamba nakataa huko polisi au jeshini wasiajiriwe watu wenye uwezo mzuri wa kielimu, la hasha. Wasiwasi uko kwenye namna hizo division one zinavyopatikana. Sasa hivi kuna mashindano makubwa kati ya shule na shule, na mwanafunzi vs mwanafunzi ya kupata pass nzuri kwenye mitihani. Hili limefanya shule na wanafunzi wengi wagundue ''short-cut'' za kila aina ili kupata vyeti vyenye ufaulu mzuri. Hivyo kuajiri kwa kigezo cha ''huyu ana cheti kizuri'' bila kumpima kwa namna nyingine tutakuwa hatujatatua tatizo. Hivyo mimi naungana na mdau Ultimate kuwa cheti kizuri kisiwe njia pekee ya kuamua. Siku hizi kuna njia nyingi mno za ku-test watu ili kujua uwezo wao. Tuchanganye njia mbali mbali.Kipindi tupo chuo kuna jamaa alikia anapata gpa ya 3.3, 3.4, 3.7 alikua anarange hapo kwenye mitihani ya mwisho, lkn tokea nieanza kusoma sijakutana na jamaa smart kama huyo alikuwa na uwezo wa kueleza hizi sijui financial policy monetary na mwenzie, alakua anafanya uchambuzi wa zile theory za economics alikuwa na uwezo wa kuongelea tukio la uchumi la hata mmika ya 1920 huko na natoa daza za kuaminika. huyu mtu alikua mzuri sana japo performance yake kwenye mitihani hii ya darasani ilikua sio kubwa sana. Lkn ukiangalia waliopata sijui first class hata kujieleza mtu hawezi wengi walisha zoea kumeza na kwenda kutapika kwenye exam room mtu unamuuliza unamaoni gani kwenye financial crisis iliyokea 2008 huko na nini kifanyike hawezi kujieleza. Kwa maoni yangu performance ya darasani isiwe kigezo namba moja huko tiss wajaribu ku tafuta njia nyingine
Tatizo unatumia mfano ambao unaweza kuwa wa nadra (exceptional case) kurasimisha kijumla (generalization) unachoona upungufu wa wenye viwango vikubwa vya ufaulu. Si sawa.Kipindi tupo chuo kuna jamaa alikia anapata gpa ya 3.3, 3.4, 3.7 alikua anarange hapo kwenye mitihani ya mwisho, lkn tokea nieanza kusoma sijakutana na jamaa smart kama huyo alikuwa na uwezo wa kueleza hizi sijui financial policy monetary na mwenzie, alakua anafanya uchambuzi wa zile theory za economics alikuwa na uwezo wa kuongelea tukio la uchumi la hata mmika ya 1920 huko na natoa daza za kuaminika. huyu mtu alikua mzuri sana japo performance yake kwenye mitihani hii ya darasani ilikua sio kubwa sana. Lkn ukiangalia waliopata sijui first class hata kujieleza mtu hawezi wengi walisha zoea kumeza na kwenda kutapika kwenye exam room mtu unamuuliza unamaoni gani kwenye financial crisis iliyokea 2008 huko na nini kifanyike hawezi kujieleza. Kwa maoni yangu performance ya darasani isiwe kigezo namba moja huko tiss wajaribu ku tafuta njia nyingine
Hasira zako hizi ( Povu lako hili ) inaonyesha kuwa Sindano ya Profesa Elifas Bisanda imekuingia Kisawasawa tena Mfupani kabisa. Pole....!!!
Sijui kwanini Wapumbavu hupenda mno Kujitetea na Kuuhalalisha Upumbavu wao na uliopo.
Mightier umesoma maoni haya ya huyu member? Hata mimi nakubaliana naye kwa asilimia zote. Nitafafanua: Siyo kwamba nakataa huko polisi au jeshini wasiajiriwe watu wenye uwezo mzuri wa kielimu, la hasha. Wasiwasi uko kwenye namna hizo division one zinavyopatikana. Sasa hivi kuna mashindano makubwa kati ya shule na shule, na mwanafunzi vs mwanafunzi ya kupata pass nzuri kwenye mitihani. Hili limefanya shule na wanafunzi wengi wagundue ''short-cut'' za kila aina ili kupata vyeti vyenye ufaulu mzuri. Hivyo kuajiri kwa kigezo cha ''huyu ana cheti kizuri'' bila kumpima kwa namna nyingine tutakuwa hatujatatua tatizo. Hivyo mimi naungana na mdau Ultimate kuwa cheti kizuri kisiwe njia pekee ya kuamua. Siku hizi kuna njia nyingi mno za ku-test watu ili kujua uwezo wao. Tuchanganye njia mbali mbali.
Hili jamaa ni very stupid asf, anashambulia watu bila kuangalia hojaUmemshambulia Bure kuwa na akili sio lazma uwe na one au first class.
"Sasa ifike muda tuambiane Ukweli nashauri kuanzia sasa Watu wanaoajiriwa katika haya Majeshi yetu ya Polisi na Jeshi la Wananchi wawe ni wale tu waliofaulu kwa Division One Shuleni au First Class Degree Vyuo Vikuu na tuachane Kuajiri Failures katika hizi Taasisi kwani hawataweza Kusaidia kufanya Tafiti za Kisasa za Kijeshi, kuwa Wabunifu Kimedani na Kushindana na Wenzao wengine ambao wameshatuacha na huenda wanatushangaa pia", amesema Profesa Elifas Bisanda ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Vyuo Vikuu vya Polisi na Jeshi na pia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria.
Chanzo: Millard Ayo
Haya Wazandiki si huwa mnajifanya Kutuchukia na hata Kututishia akina Mightier na JamiiForums Great Thinkers tukisema haya? Sasa mchukieni basi na huyu Profesa Bisanda kwa huu Ukweli wake mtupu.
Japo wanaficha na Ushauri waliopewa katika Ziara zao huko nchini Rwanda, ila Wafuatiliaji wa Mambo magumu na mazito tumeambiwa kuwa hata IGP Sirro na CDF Mabeyo walipoenda ( walipotembelea ) Rwanda waliambiwa hivi hivi kuhusu Taasisi zao kama ambavyo Profesa Bisanda ameshauri.
Tanzania inahitaji Maprofesa Makini na very Intelligent kama huyu Elifas Bisanda na kwa haya Madini yake popote alipo ( ulipo ) Mightier nakuamkia Shikamoo na hakika ulistahili kuwa Profesa na umeupiga mwingi sana juu ya hili.
Tufanye una division one yako sawa, unaenda wapi sasa? Kote kumejaa mkuu.π π π π π π π we unaendaje na divison 1 jeshini
Wewe huyu? Leo Tiss wapo vizuri? Unakuwa na tabia ya sigara kali ile nyota inawashwa kotekote!!Futa ujinga wako TISS iko vyema na naomba usi ifananishe na hayo makolokolo ambayo yako chini ya afande SIRRO.
JF kuna zaidi ya vinyonga. [emoji1][emoji1]TISS ina watu smart sana tofouti na watu wanavyowachukulia na kipimo sahihi ni vetting wanayofanyiwa hadi kuwa recruited, kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani pia katika idara ya usalama kuna wachache ambao huaribu sifa ya idara hii iliyojaa watu makini kwa matendo yao mabovu.
hahahaha umeona mkuu huyu jamaa mnafiq wa viwango vya kimataifa Haeleweki anasimamia Nini yaaniNimeshakutana na watu wanafiki humu jukwaani ila wakukuzidi wewe hajatokea bado