ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Hii kitu inamenya taratibu kuna siku utajikuta unakwenda stand ya mabasi...au hosp hakuna watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua ni shabiki wa Simba huyo. a.k.a Mapaka fc.[emoji79]bro hyo avatar yko hyo si paka mtu kabisa.. [emoji16]
Huyu ni professor bora kuwahi kutokea. Ni mchambuzi mahili wa masuala ya siasa, maendeleo, uchumi, uongozi na utawala. Ni mkosoaji mkubwa wa sera za JIWE na sirikali yake. Kwa ujumla alihesabika kuwa ni mpinzani na muumini wa Chadema na upinzani kwa ujumla. Aliamini katikaUhuru, Haki na Maendeleo ya watu.Amepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.
Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha
MCL
=====
Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”
Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.
“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.
Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.
Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
RIP Professor na mchambuzi makini.Amepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.
Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha
MCL
=====
Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”
Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.
“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.
Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.
Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
Mimi nilitaka kuandika hivi:Atakua ni shabiki wa Simba huyo. a.k.a Mapaka fc.[emoji79]
Rest in peace Profesa! Ulikuwa ni mmoja ya Wachambuzi wa kisiasa wenye weredi mkubwa. Hukuwa mnafiki kama wale wengine. Ulisimamia ukweli daima.
Viongozi wetu ni wauaji wakubwa, wao wamepata chanjo ya mchina kimyakimya huku wakidanganya kuwa hakuna covid 19Amepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.
Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha
Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”
Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.
“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.
Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.
Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
Je, hii barakoa yaweza kuwa ndo chanzo cha umauti wake??
Sounds like a truth.....!!!!!Viongozi wetu ni wauaji wakubwa, wao wamepata chanjo ya mchina kimyakimya huku wakidanganya kuwa hakuna covid 19
Correct.....!!!Ukiona hawataji chanzo cha kifo, basi jiongeza kujua ugonjwa husika.
Tuchukue tahadhari.
Amepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.
Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha
Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”
Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.
“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.
Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.
Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
Ile Corona ya "ajabuajabu"iliyomtembelea Rais Pierre Nkurunziza(RIP) wa Burundi mbona haijapiga hodi Chamwino????Hii corona nayo inafail sana. Inashindwa kupita na wanaoizodea.
RIP Professor utakumbukwa daima kwa mchango wako.RIP Prof. msiba wa gafla na ratiba tayari?
Njombe wapi ni RuvumaWachaga wangepeleka kwao Moshi, Mpangala atakuwa wa Mkoa wa Njombe.