TANZIA Profesa Gaudence Mpangala afariki dunia baada ya kuugua ghafla

TANZIA Profesa Gaudence Mpangala afariki dunia baada ya kuugua ghafla

Amepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.

Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha

MCL

=====

Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”

Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.

“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.

Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.

Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
Huyu ni professor bora kuwahi kutokea. Ni mchambuzi mahili wa masuala ya siasa, maendeleo, uchumi, uongozi na utawala. Ni mkosoaji mkubwa wa sera za JIWE na sirikali yake. Kwa ujumla alihesabika kuwa ni mpinzani na muumini wa Chadema na upinzani kwa ujumla. Aliamini katikaUhuru, Haki na Maendeleo ya watu.
 
Ukiona hawataji chanzo cha kifo, basi jiongeza kujua ugonjwa husika.

Tuchukue tahadhari.
 
Amepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.

Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha

MCL

=====

Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”

Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.

“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.

Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.

Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
RIP Professor na mchambuzi makini.
 
Atakua ni shabiki wa Simba huyo. a.k.a Mapaka fc.[emoji79]

Rest in peace Profesa! Ulikuwa ni mmoja ya Wachambuzi wa kisiasa wenye weredi mkubwa. Hukuwa mnafiki kama wale wengine. Ulisimamia ukweli daima.
Mimi nilitaka kuandika hivi:
Kama alikuwa 'Jalalani', na akabaki huko miaka yote bila "kuokotwa", huyo ijulikane alipapenda sana "jalalani" na alithamini sana utu wake kuliko tumbo lake.

Inawezekana sana huyu alikuwa ni mzalendo kwa nchi yake kwelikweli.

Tusubiri kusikia wasifu wake na alichosimamia maishani mwake. Watu wa aina hii nchi hii sasa ni wachache sana.
 
Amepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.

Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha



Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”

Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.

“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.

Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.

Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
Viongozi wetu ni wauaji wakubwa, wao wamepata chanjo ya mchina kimyakimya huku wakidanganya kuwa hakuna covid 19
 

Ni homa ya mapafu?
Amepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.


Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha



Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”

Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.

“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.

Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.

Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom