Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Corona unapozuru wengine usisahau Magogoni ya Dodoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata mm 2013 nilimkutaDah! Mwalimu wangu UDSM 2009
Nadhan alikuwa anafundisha dsDah! Mwalimu wangu UDSM 2009
Ipinde kona kule...
LONG LIVE COMRADEAmepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.
Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha
Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”
Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.
“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.
Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.
Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
MZAHA SIO MZAHA?Nchi yetu haina maambukizi ya COVID 19,au naongea uongo ndugu zangu?!!!
Bado muda kidogo. Ipo njiani.Ile Corona ya "ajabuajabu"iliyomtembelea Rais Pierre Nkurunziza(RIP) wa Burundi mbona haijapiga hodi Chamwino????
Mpangala sioWachaga wangepeleka kwao Moshi, Mpangala atakuwa wa Mkoa wa Njombe.
Tumepoteza mtu mmoja muhimu sana kwa taifa letu ktk dunia ya sasa aliyebakia aliamua kutumikia elimu yake kikamilifu na si tumbo lake ameondoka na heshima yake tutamkumbuka daimaAmepoteza uhai akipata matibabu Jijini Dodoma alfajiri ya leo.
Akifundisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa miaka mingi kabla ya kuhamia Iringa kwenye Chuo Kikuu cha Ruaha
Profesa wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi Februari 4, 2021 baada ya kuugua ghafla.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo mjukuu wa msomi huyo, Andrew Mpangala amesema, “babu alikuwa Dodoma kikazi lakini leo kati ya saa 2 na saa 3 asubuhi akiwa katika safari kuelekea kwenye kikao alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitali na ilivyofika saa tano akafariki dunia.”
Amesema mara ya mwisho kuwasiliana na babu yake ilikuwa jana na alimuagiza amtumie taarifa mbalimbali alizotakiwa kuzifuata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kisha azitume Dodoma.
“Leo asubuhi nikapiga simu yake akapokea dereva wake ambaye aliniambia babu hali yake sio nzuri na amekimbizwa hospitalini. Pia dereva akaniambia hakuna mtu wetu wa karibu Dodoma ili aende kumuangalia mzee,” amesema.
Profesa Mpangala alikuwa mchambuzi wa masuala mbalimbali hasa ya siasa.
Andrew amesema mwili utapelekwa chuo cha RUCU kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho na baada ya hapo utapelekwa Dar es Salaam.
Acheni kuwa mahawayani! Kwa akili yenu finyu mnadhani corona inaweza kusababisha kifo cha ghafla namna hiyo? Yaani uwe mzima wa afya ghafla unajisikia vibaya na ndani ya dakika chache au saa moja unaaga dunia. Kwa taarifa yenu hiyo itakuwa ni heart attack (myocardial infarction). Haiwezi kuwa corona by all means.Pana haja ya kumwambia mtu fulani na vibaraka wake kuwa kwa hili big NO!
Hadi wafe wangapi? Hadi afe nani?
Itoshe kusema kwamba this is too much.
Sasa basi!
RIP Profesa Mpangala.
Nyuma yetu!Mbele yake!
Dr. Akili......ongezeni bidi basi tupate dawa......Acheni kuwa mahawayani! Kwa akili yenu finyu mnadhani corona inaweza kusababisha kifo cha ghafla namna hiyo? Yaani uwe mzima wa afya ghafla unajisikia vibaya na ndani ya dakika chache au saa moja unaaga dunia. Kwa taarifa yenu hiyo itakuwa ni heart attack (myocardial infarction). Haiwezi kuwa corona by all means.
Itaanza na weweHii kitu inamenya taratibu kuna siku utajikuta unakwenda stand ya mabasi...au hosp hakuna watu.