... Mkuu kwa hali iliyopo ni muhimu ratiba zikaandaliwa kabisa watu wakatembea nazo mifukoni na nakala zikabaki home bila kusahau wasia maana ni dakika tu; ulikuwepo paap vuup title mpya ya kudumu unapewa. Hatari sana.RIP Prof. msiba wa gafla na ratiba tayari?
DuhNjombe wapi ni Ruvuma
Tulia itapita Tu maana wote ni above 45.Hii corona nayo inafail sana. Inashindwa kupita na wanaoizodea.
Ruvuma sio NjombeWachaga wangepeleka kwao Moshi, Mpangala atakuwa wa Mkoa wa Njombe.
Vua hii, Tanzania haina Korona.
RIP Prof. msiba wa gafla na ratiba tayari?
JanethHadi wafe wangapi? Hadi afe nani
Wachaga wangepeleka kwao Moshi, Mpangala atakuwa wa Mkoa wa Njombe.
Apumzike Kwa Amani
COVID 19 Tanzania Hakuna
Janeth
Atazuwia vipi mkuu?Pana haja ya kumwambia mtu fulani na vibaraka wake kuwa kwa hili big NO!
Hadi wafe wangapi? Hadi afe nani?
Itoshe kusema kwamba this is too much.
Sasa basi!
RIP Profesa Mpangala.