TANZIA Profesa Gaudence Mpangala afariki dunia baada ya kuugua ghafla

Pole sana wafiwa.

Huyu ni kati ya maprofesa wachache ambao daima wamesimama kutetea weledi wao.

Tunamwomba Mungu mwenye huruma ampokee katika ufalme wake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Insha Allah Mungu yupo, madaraka na dola vinadanganya watu kujiona wao Ni wao tu lakin mbele za Mungu mwanadamu Ni kapunje tu. Tunadanganywa Hakuna depotivo la corunaa, Ndugu zetu wameteketea lakin Insha Allah Mungu atatufanyia Njia pasipo na njia.
Ipinde kona kule...
 
LONG LIVE COMRADE
 
Kuna vichwa vya kuku na vibalaka wa mabeberu wamejitoa ufahamu,kila ugonwa na mtu akifa wanadhani Corona. Mungu ilaze roho ya Prof wetu mahala pema
 
Rip mwamb kanifungulia DS RUCu
Japo kuwa nilikuw na doji vipind vyake
 
Tumepoteza mtu mmoja muhimu sana kwa taifa letu ktk dunia ya sasa aliyebakia aliamua kutumikia elimu yake kikamilifu na si tumbo lake ameondoka na heshima yake tutamkumbuka daima

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Pana haja ya kumwambia mtu fulani na vibaraka wake kuwa kwa hili big NO!

Hadi wafe wangapi? Hadi afe nani?

Itoshe kusema kwamba this is too much.

Sasa basi!

RIP Profesa Mpangala.
Acheni kuwa mahawayani! Kwa akili yenu finyu mnadhani corona inaweza kusababisha kifo cha ghafla namna hiyo? Yaani uwe mzima wa afya ghafla unajisikia vibaya na ndani ya dakika chache au saa moja unaaga dunia. Kwa taarifa yenu hiyo itakuwa ni heart attack (myocardial infarction). Haiwezi kuwa corona by all means.
 
aiseeee....depotivo toka wamsajili suarez wanatisha mno........msimu huu watabaki wachache mno....
 
Dr. Akili......ongezeni bidi basi tupate dawa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…