Profesa Handlay Mwafwenga mwenye digrii Tisa achukua fomu ya Uspika wa Bunge. Anena mazito

Profesa Handlay Mwafwenga mwenye digrii Tisa achukua fomu ya Uspika wa Bunge. Anena mazito

Sifa kubwa ya masikini wa mali na akili ni kumchukia aliyenacho
Ndilo tatizo kubwa la hii ngozi nyeusi huyo mwamba kwa tunaomjua hili bunge ndilo linaloo mfaa atawanyoosha wajingajinga wengi mule inahitaji umshawishi kwa hoja haswa hajuagi kujipendekeza kwa mtu
 
Nimeuliza kama kuna kazi yake ambayo anaweza kujivunia kabisa kwamba ni matunda ya elimu yake? Ameigusa vipi jamii?
Hakuna kitu hapo, unasoma mavitu Wala huongezi maarifa yeyote. Utakuta anaripoti kwa kijana mdogo tu mwenye Bachelor degree ya Finance au taxation
 
Hakuna kitu hapo, unasoma mavitu Wala huongezi maarifa yeyote. Utakuta anaripoti kwa kijana mdogo tu mwenye Bachelor degree ya Finance au taxation

Unajua kwa upande mwingine jamaa anaweza kuwa amekwama japo inaonekana kama yuko sawa. Unasomaje midude yote hiyo tena tofautitofauti?

Amewekeza sana kwenye elimu lakini sifikirii anapata mrejesho sahihi kwenye huo uwekezaji.

Magu alivyokua anawapa shavu watu asingekosa eneo enzi zake, nawezakubaliana na wewe iko namna kwa huyu jamaa.
 
Kwa sasa amelifanyia nini taifa na Elimu yake hio
 
Huyu mwamba wa nyanda za juu kusini hamungunyi maneno juu ya hitaji jipya la haiba ya spika anatakiwa kuwa nayo na uwezo wa kuelewa mambo kwa kina na haraka bila kupelekeshwa na wenye nia ovu ya kukwaza wajibu wa Bunge kuisimamia na kuishauri serikali kwa niaba ya wananchi wa Tanzania kikamilifu.


CV as of May 18, 2015:

Prof (Dr.Juris) Handley Mpoki Mafwenga is a Macro-Fiscal Policy Psychologist who has enthusiastically been involved in International negotiations pertaining to Investment and Fiscal policy. His Taxation, Evaluation of Illicit Financial Flows, Financial Risks Management, Anti-money laundering, Anti-Terrorism Measures, Investigation of Tax Crimes, and PPP projects Mgt, are considered his Magnum Opus.

He is a father of Revenue Forecasting Modeling, Financial programming, and Fiscal Psychology empiricism. He is a Supernumerary Fellow who served as a Professor at the Tumaini University Makumira (TUDARCO), Iringa University, Teofilo Kisanji University(TEKU) and IFM. Being a renowned Budget advocacy expert under the auspices of Treasury, he has been a Member of SADC Sub-Committee on Tax matters, SADC Trade Negotiating Forum (TNF) on trade services under UNCTAD, and Curriculum Validation Committee of the NACTE.

He is a versatile resource person of the NBAA, Natural Resources Governance Institute (NRGI) and Commonwealth Secretariat (COMSEC). He has been given awards (23 by the NBAA, 2 by the NRGI, 2 by the JET, 1 by the COMSEC, 1 by UN-ESCAP, and 2 by the TUDARCO. He is a Certified Tax Practitioner with wealthy of experience in Tax Laws, International Legal Practice, Investment Laws, and Mining, Oil and Gas. Handley is an icon of reforms of Anti-drugs Unit, VAT, PPP Center, Gold Audit Program, and Tanzania Minerals Audit Agency.

He has vigorously been an artery in the formulation of the Income Tax Act, EMA Act, Mineral Policy, 2009; Mining Act, VAT Act; Income Tax (Transfer Pricing) Regulations, Tax Administration Act, The Oil and Gas Revenues Management Act, SADC Protocol on the Exchange of Information in Mineral sector, SADC-MoU on the Exchange of Information on Tax Matters, and Treaties.

Handley, has made 60 vetted publications, 4 Books including “Mineral Tax Clinic-A reflection of Old and New Fiscal Regime for Effective Tax Auditing in Tanzania ISBN: 978 9976 60 552 6:” Co-authored a Book edited by Professor Sijbren Cnossen “The Excise Tax Policy “Administration in the Southern African Countries ISBN 1-86888-366-3”.

He is an Associate Editor of the EAJR of Iringa University, a regular contributor and peer reviewer of the NBAA Journals and the Teofilo Kisanji University Journal.

Handley holds a Ph.D.(Inter. Economic Law), Ph.D(finance), Ph.D (Business Studies), MA(M&E), LL.M(Taxation), LL.M(Procedural & Intern-legal practice), MSc (finance), MBA(Mg-Economics), PGDip(Tax Mgt), LL.B, ADDip(Tax Mgt), ICSA(UK), ACCPA(AML), P3PCertified
Profesa namkubali sana
 
Kwa sasa amelifanyia nini taifa na Elimu yake hio
Kama alivyosema ndiyo anataka akafanye mageuzi eneo la spika ni sawa na wale wanaouliza chadema mmwlifanyia nini taifa wakati madarakani wapo ccm
 
Back
Top Bottom