Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Brother umemjibu huyo lakini wengi wetu ikiwemo mimi binafsi kuna kitu umezungumza nami.Nami nakutana na the same problem ya macho.
Comp na sim zinaua macho tuchukue tahadhari sana.
Kusoma vitu vingi kunapelekea confusion of brain. Ubongo unapata chaos of information na kupata redundancy errors, Cyclic error, exception error nk Kwa hio unasahau, unakuchukua muda ku recall, unachanganya mambo nk
Kitu cha msingi anzisha madarasa huru ili kichwa ki refresh the Knowledge na kuwa active.
Anzisha you tube channel au blog au platform ya motivation ili utoe "nyongo" na kuitema na kichwa kitakuwa huru kuliko kukijaza tu maarifa yasio na kikomo.
Andika sana kwenye platform za watu kama JF Quora,Redet, Facebook nk.
Anzisha darasa la ushauri hasa kama ulipita na kwenye phychology au philosophy.
Una mambo mengi ambayo huna pa kuyapeleka hivyo tafuta pa kuyapeleka vinginevyo yatakudhuru!
Waone wataalamu wa tiba ya akili hasa kwenye mambo ya academic kwani kuna
baadhi ya watu hudhurika na abundant of information.
Tafuta muda uwe una relax na kufanya mambo ya kawaida kama kuvua kwa nduwaono, kucheza mziki,mpira, kulima, kusuka ungo, mkeka nk
Wasomi wengi sana wametengwa na ulimwengu wa kujamiiana na kuamini wamekamilika na ulimwengu wao( Ideal world) .
Elimu huwanyanganya watu uhuru wao na kuwapa uhuru bandia(umeisha wahi kumuona msomi anacheza ngoma za asili?) Jibu ni hapana kwa sababu huo uhuru alisha porwa kitambo!.
Kumbuka we are already programmed so to reprogram ni hatua nyingine.
We in the world of MATRIX kujitoa ni kazi.
Don't study too much anymore, tumia kwanza uliyoyakusanya kabla hijaongeza mengine.
Nyumbani kuna watu hubatizwa jina la
MAKUSANYA and some of them are crazy!
Fuata nyayo za Prof Lumumba au VUSI Tembekwayo, hawa jamaa wanajua na wameweza ku balance knowledge waliokusanya miaka mingi. Japojuwa Prof Lumumba amechanganyikiwa kwa mbali kwa sababu ya kuwa na inf nyingi zilizopitiliza.
Uoga wa maisha na sifa za kijingaMkuu mm napenda kusoma kuliko kuliko chochote peharps ntazifikisha.....
Hapa zipo mbili mpaka Sasa....
Wewe umepewa nafasi gani? Kama hujapewa je umestukiwa kuwa hamnazo?Makini au kichaa?
Huko juu walishamjua that's why hawakumpa nafasi kubwa
Hata kufany medical checkup akuna?Yaan Madigirii yote hayo bado alikuwa AFISA MKUU DARAJA LA 1? Hata Umeneja au Ukurugenzi alikuwa hana.. aisee MAISHA haya.
Kuanzia tarehe 28 Agosti 2023 mpaka leo 19 Septemba 2023 yaani chini ya siku 25 maprofesa tuliopoteza ni watatu.
1. Handley Mwafwenga
2. Philemon Mushi (aliwahi kuhudumu School of Education UDSM)
3. David Massamba (amewahi kuwa director of IKS)
Huyo namba 2 na 3 walifariki siku moja tarehe 28 Agosti, 2023.
Inasikitisha sana.
Kuanzia tarehe 28 Agosti 2023 mpaka leo 19 Septemba 2023 yaani chini ya siku 25 maprofesa tuliopoteza ni watatu.
1. Handley Mwafwenga
2. Philemon Mushi (aliwahi kuhudumu School of Education UDSM)
3. David Massamba (amewahi kuwa director of IKS)
Huyo namba 2 na 3 walifariki siku moja tarehe 28 Agosti, 2023.
Inasikitisha sana.
I am like u, nilikua na uwezo wa kusoma mpk vitabu 100 per yr, now hata viwili kazi. Now navaa miwani. Nenda kacheki hosp hayo macho. Hii micomputer inatuua tuKusoma ni hobbies mm nimewai kufanya assignment nyingi sana za watu na field report writing nyingi sana pia research za watu wengi sana Mimi ni mtu napenda sana kusoma soma hapa nataka mwakani nitafute evening program ya postgraduate study Ili nifanye diversity
Kwa hii miaka mitano nimekua mbele ya computer 24/7 naku attending phone calls nyingi sanaa last months nimeanza ona macho yanaanza kunisumbua sana hasa jicho la kulia linauma pia currently kutokana na kua busy sanaa Kila siku kwenye ma computer nimeanza kuona nimepungukiwa uwezo wangu kiakili kama zamani & Naona Ile smartness yangu ya zamani inapungua...
MWENYEZ MUNGU ATUSAIDIE SANAA
Nyie ufipa onyesheni mtu yoyote mwenye degree hata 3Innocent amebainisha kuwa Profesa Mwafwenga aliyewai kuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Nakubaliana na wewe 100%Wanyakyusa wa Tukuyu wanafanana karibu kila kitu na Wahaya
RIP Msomi
Sawa mkuu,I am like u, nilikua na uwezo wa kusoma mpk vitabu 100 per yr, now hata viwili kazi. Now navaa miwani. Nenda kacheki hosp hayo macho. Hii micomputer inatuua tu
Asante mkuuUoga wa maisha na sifa za kijinga
Kusoma sana kazi kidogo.......wasomi wengi kwa nilichoshuhudia enzi hizo nikiwa nimeajiriwa huwa wanasoma sana ili kukwepa kazi ngumu au kazi nyingi.Yaan Madigirii yote hayo bado alikuwa AFISA MKUU DARAJA LA 1? Hata Umeneja au Ukurugenzi alikuwa hana.. aisee MAISHA haya.
Mkuu,Nami nakutana na the same problem ya macho.
Comp na sim zinaua macho tuchukue tahadhari sana.
Kusoma vitu vingi kunapelekea confusion of brain. Ubongo unapata chaos of information na kupata redundancy errors, Cyclic error, exception error nk Kwa hio unasahau, unakuchukua muda ku recall, unachanganya mambo nk
Kitu cha msingi anzisha madarasa huru ili kichwa ki refresh the Knowledge na kuwa active.
Anzisha you tube channel au blog au platform ya motivation ili utoe "nyongo" na kuitema na kichwa kitakuwa huru kuliko kukijaza tu maarifa yasio na kikomo.
Andika sana kwenye platform za watu kama JF Quora,Redet, Facebook nk.
Anzisha darasa la ushauri hasa kama ulipita na kwenye phychology au philosophy.
Una mambo mengi ambayo huna pa kuyapeleka hivyo tafuta pa kuyapeleka vinginevyo yatakudhuru!
Waone wataalamu wa tiba ya akili hasa kwenye mambo ya academic kwani kuna
baadhi ya watu hudhurika na abundant of information.
Tafuta muda uwe una relax na kufanya mambo ya kawaida kama kuvua kwa nduwaono, kucheza mziki,mpira, kulima, kusuka ungo, mkeka nk
Wasomi wengi sana wametengwa na ulimwengu wa kujamiiana na kuamini wamekamilika na ulimwengu wao( Ideal world) .
Elimu huwanyanganya watu uhuru wao na kuwapa uhuru bandia(umeisha wahi kumuona msomi anacheza ngoma za asili?) Jibu ni hapana kwa sababu huo uhuru alisha porwa kitambo!.
Kumbuka we are already programmed so to reprogram ni hatua nyingine.
We in the world of MATRIX kujitoa ni kazi.
Don't study too much anymore, tumia kwanza uliyoyakusanya kabla hijaongeza mengine.
Nyumbani kuna watu hubatizwa jina la
MAKUSANYA and some of them are crazy!
Fuata nyayo za Prof Lumumba au VUSI Tembekwayo, hawa jamaa wanajua na wameweza ku balance knowledge waliokusanya miaka mingi. Japojuwa Prof Lumumba amechanganyikiwa kwa mbali kwa sababu ya kuwa na inf nyingi zilizopitiliza.