TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

Sawa mkuu,
Macho hayana nguvu hasa jicho la kulia naona kabisa limepunguza uwezo wa kuona....

Napo andika hii comment nipo mbele ya computer 💻

This week ntaenda fanya check up ya macho..
Kama carrots kwenu ni nyingi, kunywa juisi kila siku kama hamna tumia mawese mabichi au mbegu zake kwa eingi japo yanachangamoto zake kwa mtu ambae hajayazoea ila ni tiba.
 
Alitakiwa awe OSHO wa TANZANIA Osho alikuwa na maktaba yenye vitabu karibu 100000 na anadai alivisoma vyote. Baadae akaacha kuvisoma akawa anajibu maswali magumu na kazi zake zimehifadhiwa
Mwafongo alitakiwa awe na maktaba ya vitabu alivyoandika yeye mwenyewe, na ingekuwa hazina ya TAIFA .
Ningependa kujua je je aliacha vitabu vingapi, maandiko mangapi, alikuwa ana andika makala kwenye magazeti ambapo zinaweza kukusanywa kuwa kitabu ?
Familia yake wangeanzisha platform aither blog au wesite, You tube Channel waweke kazi zake za kitaaluma waziuze nk.
Mtandaoni kuna Youtube channel ya Michael Jackson na Bob marley japo wamekufa nasi tunaweza anzisha vitu kama hivyo kwa watu wetu wakubwa wakubwa kama Nyerere nk.
 
Kama carrots kwenu ni nyingi, kunywa juisi kila siku kama hamna tumia mawese mabichi au mbegu zake kwa eingi japo yanachangamoto zake kwa mtu ambae hajayazoea ila ni tiba.
Option ya carrot 🥕🥕🥕 naona itakua the best naanza Leo hii
 
Jina la ukoo kwa usahihi ni Mafwenga, si Mwafwenga! Poleni sana kwa wafiwa wote.
 
Ushauri mzuri sana, ila jina la ukoo kwa usahihi ni Mafwenga si Mwafwenga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…