Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui sheria gani imetumika kwenye huu ushauri?Mwenyekiti wa Cuf na bingwa wa masuala ya uchumi duniani ameshauri kuwa Rais wa JMT samia na makamu wake Dk Mpango wawe wanawapa mkataba wa mwaka mmoja mwaziri ili anayeshindwa kazi atumbuliwe kihalali.View attachment 1743907
Wewe mwenye kichwa chepesi wape mkataba huo basUnakichwa kigumu kujua mtu kaanisha nini
Mkuu huyo hajawahi kutaka kuwa Rais alikuwa mleta changamoto tuu.Huyu alitaka kuwa Rais kumbe hajui hata katiba inasemaje?
Huyo professa aidha hajui utendaji serikalini ulivyo au anatafuta kick. Iko hivi:Mwenyekiti wa Cuf na bingwa wa masuala ya uchumi duniani ameshauri kuwa Rais wa JMT samia na makamu wake Dk Mpango wawe wanawapa mkataba wa mwaka mmoja mwaziri ili anayeshindwa kazi atumbuliwe kihalali.View attachment 1743907
Huu mfumo dume balaa. Makamu wa Rais anahusika vipi hapa? Anayeteua mawaziri ni Rais peke yake. Hivi wakati Mwendazake yuko hai mngethubutu kusema Rais Magufuli na Mh. Samia Hassan wafanye hili na lile? Tumpe Rais heshima yake kwa kutambua kuwa Dr. Mpango ni Makamu wa Rais na sio Rais Mwenza.Mwenyekiti wa Cuf na bingwa wa masuala ya uchumi duniani ameshauri kuwa Rais wa JMT samia na makamu wake Dk Mpango wawe wanawapa mkataba wa mwaka mmoja mwaziri ili anayeshindwa kazi atumbuliwe kihalali.View attachment 1743907
SureMkuu huyo hajawahi kutaka kuwa Rais alikuwa mleta changamoto tuu.
Sasa mbona hatuoni wakiwajibishwa kwa utendaji mbovu kama ulivyoainisha? Maana kama ni poor perfomance wengi tu ni wauza chai tu kwenye luningaHuyo professa aidha hajui utendaji serikalini ulivyo au anatafuta kick. Iko hivi:
Kila wizara ina document inaitwa strategic plan ambapo huonyesha malengo mapana (objectives ) na targets (malengo mahsusi) ambayo hupangwa kukamilika ndani ya miaka mitatu au mitano...
Nimeeleza kuwa kila mwaka wizara inapewa pesa hivyo wizara inafanya kazi kulingana na bajeti iliyotolewa. Unaweza kukuta wizara inahitaji biliini 10 kufanya kazi fulani lakini inapewa bilioni moja au milioni mia 500, hivyo inabidi watekeleze sehemu ndogo tu ya kinachitakiwa kufanywa. Yaani inabidi wizara islash baadhi ya activities ambazo zingewezesha target fulani kukumilika.Sasa mbona hatuoni wakiwajibishwa kwa utendaji mbovu kama ulivyoainisha? Maana kama ni poor perfomance wengi tu ni wauza chai tu kwenye luninga