Kwa akili yako finyu Prof hajui haya? Hapa hoja ni mkataba wa uwajibikaji.Nimeeleza kuwa kila mwaka wizara inapewa pesa hivyo wizara inafanya kazi kulingana na bajeti iliyotolewa. Unaweza kukuta wizara inahitaji biliini 10 kufanya kazi fulani lakini inapewa bilioni moja au milioni mia 500, hivyo inabidi watekeleze sehemu ndogo tu ya kinachitakiwa kufanywa. Yaani inabidi wizara islash baadhi ya activities ambazo zingewezesha target fulani kukumilika.
Akili yangu ni kubwa kuliko yako inayoganga njaa na huyo profesa wako. Jifunze taratibu za ufanyaji kazi serikalini badala ya kukurupuka . Aidha utendaji wa wafanyakazi wote wa wizara kuanzia mtu wa chini hadi Katibu mkuu unapimwa kwa kitu kinachoitwa OPRAS . Kama hujui kitu kaa kimya.Kwa akili yako finyu Prof hajui haya? Hapa hoja ni mkataba wa uwajibikaji.
Kwa akili yako finyu Prof hajui haya? Hapa hoja ni mkataba wa uwajibikaji.Nimeeleza kuwa kila mwaka wizara inapewa pesa hivyo wizara inafanya kazi kulingana na bajeti iliyotolewa. Unaweza kukuta wizara inahitaji biliini 10 kufanya kazi fulani lakini inapewa bilioni moja au milioni mia 500, hivyo inabidi watekeleze sehemu ndogo tu ya kinachitakiwa kufanywa. Yaani inabidi wizara islash baadhi ya activities ambazo zingewezesha target fulani kukumilika.
Lipumba amezungumzia watumishi wa kawaida na MaPS? OPRAS inaingia vipi we akili ndongo? Mbona rais anaweza kumtumbua waziri au PS anytime akiwa na poor perfomance? Wewe na akili zako ndogo kama piriton unamzidi Prof kujua ishu za budget na utendaji serikalini?Akili yangu ni kubwa kuliko yako inayoganga njaa na huyo profesa wako. Jifunze taratibu za ufanyaji kazi serikalini badala ya kukurupuka . Aidha utendaji wa wafanyakazi wote wa wizara kuanzia mtu wa chini hadi Katibu mkuu unapimwa kwa kitu kinachoitwa OPRAS . Kama hujui kitu kaa kimya.
Nina hakika najua kuliko yeye kwa haya aliyoyaeleza.Kwa akili yako finyu Prof hajui haya? Hapa hoja ni mkataba wa uwajibikaji.
Lipumba amezungumzia watumishi wa kawaida na MaPS? OPRAS inaingia vipi we akili ndongo? Mbona rais anaweza kumtumbua waziri au PS anytime akiwa na poor perfomance? Wewe na akili zako ndogo kama piriton unamzidi Prof kujua ishu za budget na utendaji serikalini?
Ahaa, we bwege kweli. Jikite kwenye mada husika. Prof ameshauri mawaziri wapewe mkataba wa uwajibikaji. Unahusiana vipi na maPS na maafisa wa kawaida?Nina hakika najua kuliko yeye kwa haya aliyoyaeleza.
Waziri sio mtendaji yeye anasimamia sera. Katibu mkuu na timu yake ya watendaji kuanzia wakurugenzi hadi maafisa wa kawaida ndio watekelezaji.
Jifunze wewe huwezi ukajua kuliko mimi ambaye niko ndani ya wizara.
Kama hujui uhusiano uliopo wa kiutendaji basi wewe ni zadi punguani.Ahaa, we bwege kweli. Jikite kwenye mada husika. Prof ameshauri mawaziri wapewe mkataba wa uwajibikaji. Unahusiana vipi na maPS na maafisa wa kawaida?