Profesa Ibrahim Lipumba: Mawaziri wapewe mkataba wa mwaka mmoja, atakayeshindwa kufanya kazi atumbuliwe

Kwa akili yako finyu Prof hajui haya? Hapa hoja ni mkataba wa uwajibikaji.
 
Kwa akili yako finyu Prof hajui haya? Hapa hoja ni mkataba wa uwajibikaji.
Akili yangu ni kubwa kuliko yako inayoganga njaa na huyo profesa wako. Jifunze taratibu za ufanyaji kazi serikalini badala ya kukurupuka . Aidha utendaji wa wafanyakazi wote wa wizara kuanzia mtu wa chini hadi Katibu mkuu unapimwa kwa kitu kinachoitwa OPRAS . Kama hujui kitu kaa kimya.
 
Kwa akili yako finyu Prof hajui haya? Hapa hoja ni mkataba wa uwajibikaji.
Lipumba amezungumzia watumishi wa kawaida na MaPS? OPRAS inaingia vipi we akili ndongo? Mbona rais anaweza kumtumbua waziri au PS anytime akiwa na poor perfomance? Wewe na akili zako ndogo kama piriton unamzidi Prof kujua ishu za budget na utendaji serikalini?
 
Nina hakika najua kuliko yeye kwa haya aliyoyaeleza.

Waziri sio mtendaji yeye anasimamia sera. Katibu mkuu na timu yake ya watendaji kuanzia wakurugenzi hadi maafisa wa kawaida ndio watekelezaji.

Jifunze wewe huwezi ukajua kuliko mimi ambaye niko ndani ya wizara.
 
Ahaa, we bwege kweli. Jikite kwenye mada husika. Prof ameshauri mawaziri wapewe mkataba wa uwajibikaji. Unahusiana vipi na maPS na maafisa wa kawaida?
 
Ahaa, we bwege kweli. Jikite kwenye mada husika. Prof ameshauri mawaziri wapewe mkataba wa uwajibikaji. Unahusiana vipi na maPS na maafisa wa kawaida?
Kama hujui uhusiano uliopo wa kiutendaji basi wewe ni zadi punguani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…