Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Heshima ya chadema bado ipo Lukasi sema hayo mengine uliyosema ni sawaTangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
Wacha akale pesa ww
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Mshahara wa Katibu Mkuu unajua ni kiasi gan? Anapewa diplomatic passport/treatment kote dunianiCCM wanapaswa kuchukua tahadhari kwani Janabi anaweza kusema kuwa chawa kunaleta kansa na hivyo kusababisha taharuki!
Haujadiliwi mshahara hapa bali hadhi yake kijamii!Mshahara wa Katibu Mkuu unajua ni kiasi gan? Anapewa diplomatic passport/treatment kote duniani
Hadhi inakusaidia nn bila maokoto?Haujadiliwi mshahara hapa bali hadhi yake kijamii!
Maswali yako ni mazuri sana , lakini Majibu yake anayo Bashiru Ally na ChongoloTangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
😆😆😆😆CCM wanapaswa kuchukua tahadhari kwani anaweza kusema kuwa chawa kunaleta kansa na hivyo kusababisha taharuki!
Hadhi inakusaidia nn bila maokoto?
Vijana wenye mawazo kama wewe hawana mchango wo wote katika maendeleo ya Taifa!Hadhi inakusaidia nn bila maokoto?
Wewe Una mchango gan?Vijana wenye mawazo kama wewe hawana mchango wo wote katika maendeleo ya Taifa!
Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
Ninyi jengeni chama Chenu kilichopoteza Dira na muelekeo na kubaki kinajiendea kama kipofu tu.Maswali yako ni mazuri sana , lakini Majibu yake anayo Bashiru Ally na Chongolo
Ahangaike na habari za CHADEMA na siyo kuleta porojo zake.hizo zote ni hofu tu ndio zimewajaa wana CHADEMAKuna mahal mtoa post kasema yeye ni chadema?
Makundi mawili yajiandae kisaikolojia;.
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .