Profesa Janab ukithubutu kukubali kuwa Katibu Mkuu wa CCM, heshima yako itapukutika kama vumbi la majivu

Profesa Janab ukithubutu kukubali kuwa Katibu Mkuu wa CCM, heshima yako itapukutika kama vumbi la majivu

Chonde chonde kama ni kweli Dr janabi unaingia kwenye siasa tafadhali Baki kwenye afya maana afya inakuhitaji zaidi kuliko siasa . Umekuwa msaada na mchango wako ni mkubwa Sana. Huko siasa kutakuharibia CV yako nzuri uliyojenga ,maana makundi ya ccm ni hatari , labda kama ukistaafu ndio uende kwenye siasa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aache pesa akusikilizie wewe si ndio? Bila Janabi Afya itayumba au?
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Acha zako wewe!

Mi nataka apewe ili apukutishe wale kiherehere wanaotaka urais halafu wapigaji TU na uwezo hawana!!

Tena Kwa wimbi hili la covid simple Dana kisingizio tunacho!!

We mtu anataka urais kisa ana upara au Lisa anavaa Bendera shingoni SI utani huo!!?

Profesa kubali kuwa katibu mi nitakua nakuletea maji ya kunywa kwenye press!!

Lazima ccm ipukutishe wajinga!!
 
Chu

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Chukua Chako Mapema.
Ninachokijua mimi taaluma haifanyi kazi Tz.
Hayo maarifa aliyonayo hata yatumia bali matakwa ya wala nchi.
 
Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.

Wewe inaonekana uelewa wako ni mdogo sana.

Ni wapi mleta mada ameishauri CCM? Yeye amemshauri huyo profesa ambaye sisi wengine hata hatumjui. Labda wanafahamiana na mleta mada. Ushauri umeelekezwa kwa profesa, siyo kwa CCM.
 
Hii ni sawa na SIMBA kuishauri UTO kikosi cha kupanga wakati wa mechi zinazowakutanisha.
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Acha ukuda wewe sema tu hafai kama ndio mama anataka kupanga safu ya wapigaji wapwani. Kwanza ujue proff janabi wanajpm kindakindaki wana shaka nae kuhusu jitahada yake kuokoa maisha ya mpendwa wao. Halafu daktari wa moyo na siass za majukwaani ni lazima atatumiwa tu na waovu. Hatujawahi kumsikia au kujua ana mwelekeo gani kisiasa. Kua mwana ccm tu haitoshi. Wala mtoa huu uzi usifikiri wanamapinduzi kina bashiru ali eti kuna wanajutia. Wao wametoa mchango wao kwa ccm na wanaona bado wana wajibu kwenye kurejesha chama cha mapinduzi kwenye mwelekeo wa kimapinduzi.
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
huyu anafaa sana kuwa km wa ccm tatizo la watanzania ni mioyo hao
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Ila kweli.Ningekuwa nachagua mimi,hiki cheo katibu mkuu kinamfaa mkuu wa mkoa wa sasa wa Dar,simtaji jina.Anajua kuongea na anaweza akambadilisha mtu mawazo yake kwa mistari yake tu na chama vilevile anakijiua,ametokea huko.
 
Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
Hayati, Dr magufuli alipata kusema "Ukiona adui yako amekusifu basi jitafakari mara mbili wapi unakosea" Ila "Ukiona adui yako anaponda basi songa mbele make utakuwa umempiga kwenye mshono"
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Unafikiri kwanini maprofesa kama hawa wapo na wataendelea kuwa ccm?
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Kama ccm imekwisha basi chadema imefutika kabisa kiufupi ccm itakuwa afadhali na chadema potelea mbali
 
Usije kusema hatukukuambia .
We sema tu kuwa unamuonea wivu. Tangu lini chadema mkawa washauri wa wanachama wa ccm? Halafu, wewe ni msemaji wa chadema, mambo ya ccm na wanaccm yanakuhusu nini? Pilipili usiyoila wewe inakuwasha nini? Acha wivu bwashee.
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Umesikia wapi Hilo mkuu acha kubashiri Mambo ya ccm
 
Back
Top Bottom