Bro ungejua, huyu ni Mzee January tarehe 17 anatimiza miaka 57.
Vijana wenye mawazo kama wewe hawana mchango wo wote katika maendeleo ya Taifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wenye mawazo kama wewe hawana mchango wo wote katika maendeleo ya Taifa!
Mwenyekiti tena? You goat catholic who has turned you back?Umegeuka kuwa msemaji wa CCM!? ,Prof janabi ikiwa atateuliwa kuwa mwenyekiti nashauri akubali majukumu,namtakia kila lililo zuri kwake
Acha wamlipe fadhila mchomoa betri....Wacha akale pesa ww
Mchango wake ni kinyesi mashambani tunapata mboleaWewe Una mchango gan?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]CCM wanapaswa kuchukua tahadhari kwani anaweza kusema kuwa chawa kunaleta kansa na hivyo kusababisha taharuki!
Prof amuulize kilichompata Chongolo watamvua boxer mchana kweupe sisiyemu kuna ushenziChadema Waoga MNO [emoji3]
Ngoja aje awachanjechanje tuwatupe by Kapiteni Kombat[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makundi mawili yajiandae kisaikolojia;.
1. CCM mnaovaa zaidi ya kiuno 40 (wanaume) na mnaovaa zaidi ya 32 kiuno (wanawake) mjiandae!
2. CCM Wenye vitambi/viliba tumbo mjiandae pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Professor janabi huyu aliyekua ana present kwenye hafla ya taasisi ya professor j [emoji23][emoji23][emoji23] au alikua amelewa
Nafasi ya KM sio kalio
Maokoto ndo mpango. Heshima abaki nazo Askofu Mkuu MwamakulaProf amuulize kilichompata Chongolo watamvua boxer mchana kweupe sisiyemu kuna ushenzi
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
mbona ganzi na hofu imewajaa sana eti ndugu semaji
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
waoga halafu wabishi ka fisi 😅Chadema Waoga MNO 😀
Ngoja aje awachanjechanje tuwatupe by Kapiteni Kombat😂
Mbona hapo hujipigii upatu upewe wewe chawa?Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
We amka usingizini acha kuota ndoto za hovyo
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Naona umepanick vibaya, anamsaidia prof Janab asije kuishia kupanda punda, halafu wakati wa uchaguzi akaishia kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Jitahidi kuacha uvutaji wa shisha maana unakufanya kituko.Ninyi jengeni chama Chenu kilichopoteza Dira na muelekeo na kubaki kinajiendea kama kipofu tu.
Kweli kabisa, ni sawa na Dk. Slaa alovyokubali kujiunga Chadema, sasa hivi anabishana mashimoni kama ghost akiwa na mwambuzi wa mbeya
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwa Chadema,huko kunahitaji wavuta bangi kama mtoa mada.Chadema Waoga MNO 😀
Ngoja aje awachanjechanje tuwatupe by Kapiteni Kombat😂
Hadhi yake kwenye Katibu Mkuu ni kubwa kuliko kuwa tuu Daktari Muhimbili.Haujadiliwi mshahara hapa bali hadhi yake kijamii!