ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Aache pesa akusikilizie wewe si ndio? Bila Janabi Afya itayumba au?Chonde chonde kama ni kweli Dr janabi unaingia kwenye siasa tafadhali Baki kwenye afya maana afya inakuhitaji zaidi kuliko siasa . Umekuwa msaada na mchango wako ni mkubwa Sana. Huko siasa kutakuharibia CV yako nzuri uliyojenga ,maana makundi ya ccm ni hatari , labda kama ukistaafu ndio uende kwenye siasa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha zako wewe!
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Chukua Chako Mapema.
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
Acha ukuda wewe sema tu hafai kama ndio mama anataka kupanga safu ya wapigaji wapwani. Kwanza ujue proff janabi wanajpm kindakindaki wana shaka nae kuhusu jitahada yake kuokoa maisha ya mpendwa wao. Halafu daktari wa moyo na siass za majukwaani ni lazima atatumiwa tu na waovu. Hatujawahi kumsikia au kujua ana mwelekeo gani kisiasa. Kua mwana ccm tu haitoshi. Wala mtoa huu uzi usifikiri wanamapinduzi kina bashiru ali eti kuna wanajutia. Wao wametoa mchango wao kwa ccm na wanaona bado wana wajibu kwenye kurejesha chama cha mapinduzi kwenye mwelekeo wa kimapinduzi.
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Tatizo ninyi vijana mmeweka mbele fedha na ndiyo sababu mkiombwa vinyeo mnagawa tu ilimradi upewe fedha!Hadhi yake kwenye Katibu Mkuu ni kubwa kuliko kuwa tuu Daktari Muhimbili.
Unazijua stahiki za Katibu Mkuu wewe?
Tulia weweChadema Waoga MNO 😀
Ngoja aje awachanjechanje tuwatupe by Kapiteni Kombat😂
huyu anafaa sana kuwa km wa ccm tatizo la watanzania ni mioyo hao
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
maccm mnachojua ni wizi wa rasilimali za taifa na wizi wakuraChadema Waoga MNO 😀
Ngoja aje awachanjechanje tuwatupe by Kapiteni Kombat😂
Ila kweli.Ningekuwa nachagua mimi,hiki cheo katibu mkuu kinamfaa mkuu wa mkoa wa sasa wa Dar,simtaji jina.Anajua kuongea na anaweza akambadilisha mtu mawazo yake kwa mistari yake tu na chama vilevile anakijiua,ametokea huko.
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Hayati, Dr magufuli alipata kusema "Ukiona adui yako amekusifu basi jitafakari mara mbili wapi unakosea" Ila "Ukiona adui yako anaponda basi songa mbele make utakuwa umempiga kwenye mshono"Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
Unafikiri kwanini maprofesa kama hawa wapo na wataendelea kuwa ccm?
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Kama ccm imekwisha basi chadema imefutika kabisa kiufupi ccm itakuwa afadhali na chadema potelea mbali
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
We sema tu kuwa unamuonea wivu. Tangu lini chadema mkawa washauri wa wanachama wa ccm? Halafu, wewe ni msemaji wa chadema, mambo ya ccm na wanaccm yanakuhusu nini? Pilipili usiyoila wewe inakuwasha nini? Acha wivu bwashee.Usije kusema hatukukuambia .
Umesikia wapi Hilo mkuu acha kubashiri Mambo ya ccm
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.
Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.
Usije kusema hatukukuambia .
Du!...Hii kauli yako ungekuwa karibu na mashoga yangekununulia bia ...maana hii ndiyo kauli mbiu no 1 ya mashoga wote duniani [emoji2957][emoji2957]Hadhi inakusaidia nn bila maokoto?