ππ ingekuwa hivyo wangestop kutengeneza hao bonite na wenzake,, mitano tena kwa bwana pepsi na fanta orange, pasi na kumsahau bitter lemon & ginger ale π₯π₯πΉAaah wewe ndio umekwisha kabisa ukimsikia anaongelea pespi na fanta unaweza kuhisi umeshaoza tumboni mwako..
Mwenyewe huku Kishimbenzobe ndio namsikia leo.Ni nani huyo huko Dar & Dom
Mizizi mingine ina sukari wewe!Huyu jamaa yaan ukimfuatilia utaishia kula mizizi tu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikuwa na wanangu fulani hivi tumechafua meza tukasema kumbe Prof anasemaga tu mbele ya camera [emoji1787]
Mke wa ngapi?Mkewe huyo Jamani.
Na mbaya zaidi anaamini ukiwa Prof unajua sana kuliko wengine.Jamaa anadhani mwenyewe tu peke yake ndiye anayejua maradhi ya moyo Tanzania
Aisee ndio kumbukumbu zimekuja. Huyu ni mkewe anaitwa Sophia Byanaku alishawahi kushiriki mambo ya ulimbwende miaka hiyoSio dada, Ni mkewe
Mbona ameanza kuwa Famous kitambo tangu kwa Jiwe akiwa Kiongozi wa JKaya kikwete Cardiac.Kwanini kawa famous? Ama ndo anajimix na sisiem?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ungemuulizq vzuri ana elimu gani na kaipata wapi[emoji28]
π€£π€£Ni nani huyo huko Dar & Dom
Kuna soda inaitwa Anjali niliinywa Tanga. Ni balaa[emoji23][emoji23] ingekuwa hivyo wangestop kutengeneza hao bonite na wenzake,, mitano tena kwa bwana pepsi na fanta orange, pasi na kumsahau bitter lemon & ginger ale [emoji91][emoji91][emoji257]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Juzijuzi hapo nipo kili ya 6 kubwa mara ikanijia picha ya Janab aisee nilitetemeka balaa.Maana alisema kwa wiki bia 1 tu.
Anapiga hela, si unajua gharama za kumtunza Sophia.Ni Mkurugenzi MNH, Dakitari mwenye maneno mengi ka winga wa K.koo.
Ooh MNH yote inabomolewa na kujengwa ghorofa moja tu kubwa sanaaa, njoo sasa uone vimabango vilivyopambwa kila kona na ujenzi vibanda usiokwisha.
Ona komwe π€£π€£
Inawezekana π€£π€£π€£π€£
Kwani Mkuu Umeleewa Nini Hapo Ama Wapi Nimesema ImenikoseaSamahani mkuu, Makao Makuu imekukosea nini aiseeeh'.?