donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
- #21
Daktari bingwa WA magonjwa ya moyo na mkurugenzi wa hospital ya muhimbiliKwanini? Ni daktari wa Nchi na mie mwananchi sijui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daktari bingwa WA magonjwa ya moyo na mkurugenzi wa hospital ya muhimbiliKwanini? Ni daktari wa Nchi na mie mwananchi sijui?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anataka wanaomsililiza wawe wembamba kama yeye!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]tena Gospel.
Ndio hapo sasaJamaa anadhani mwenyewe tu peke yake ndiye anayejua maradhi ya moyo Tanzania
Mbona amejiachia kiushubwada hivyoAkiii!
mwee!! Ahsante kwa ufafanuziNi Mkurugenzi MNH, Dakitari mwenye maneno mengi ka winga wa K.koo.
Ooh MNH yote inabomolewa na kujengwa ghorofa moja tu kubwa sanaaa, njoo sasa uone vimabango vilivyopambwa kila kona na ujenzi vibanda usiokwisha.
😅😅😅 si wa mjini?Mbona amejiachia kiushubwada hivyo
Kocha wa Manchester unitedNi nani huyo huko Dar & Dom
Kwanini kawa famous? Ama ndo anajimix na sisiem?Daktari bingwa WA magonjwa ya moyo na mkurugenzi wa hospital ya muhimbili
Ona komwe 🤣🤣Kocha wa Manchester united
Bora uko, uku kuna siasa ya Afya sas hivi hatupumui tunapelekwa mzobe mzobe na bwana Janabi.mwee!! Ahsante kwa ufafanuzi
Huku Arusha pia wanaendelea na ujenzi wa Hospital ya jiji,, hauishi…
We kuweza vile dada? Au sio wa mjini😅😅😅 si wa mjini?
Anaitwa Sophia, kwani haumfahamu?
🤣🤣 wakubwa wasiotaka kuzeeka haoMbona amejiachia kiushubwada hivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Janabi anakataa tusile nyama ila anainyonya K
Simfahamu, na yeye ni MD?[emoji28][emoji28][emoji28] si wa mjini?
Anaitwa Sophia, kwani haumfahamu?
Anasemaje kuhusu pepsi na fanta orange!? Na hili jua nazipeleka balaa 🙆Janabi anakataa tusile nyama ila anainyonya K
Mimi bwana wa Itigi. Unapajua? 😂We kuweza vile dada? Au sio wa mjini