FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kakukosea nini Dr. Mohamed Jananabi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakukosea nini Dr. Mohamed Jananabi?
Hakika hili tutaliundia tume.Anapiga hela, si unajua gharama za kumtunza Sophia.
Yaan dada umeweka hadi first name ili tujue tu ni mtu wa mrengo gani katika maswala ya kiimani?Kakukosea nini Dr. Mohamed Jananabi?
Tutamnyonya macho,,akileta upuuzi kwenye Mwili wa Kristo!!Huyo dokta naona sasa anataka kuvuka mipaka.....ajichanganye kwa sisi team kitimoto
Prof Janabi wala si wa kupenda kuonekana. Ila majukumu yake yanamuweka front.Mbona ameanza kuwa Famous kitambo tangu kwa Jiwe akiwa Kiongozi wa JKaya kikwete Cardiac.
Kabla ya kuwa Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ..
Shida kubwa kuna Maproffesor ambao wanapenda kuonekana..
Fuata vitendo vyake usifuate maneno yake!
Kumbe unanyonya wenzako, utakuwa ni mbarikiwa wewe.Tutamnyonya macho,,akileta upuuzi kwenye Mwili wa Kristo!!
Kwani wewe unapenda kuambiwa uache unachokipenda??Prof Janabi wala si wa kupenda kuonekana. Ila majukumu yake yanamuweka front.
Lakini umaarufu wake si kwa sababu ya uprof wala Ukurugenzi, bali ni kwa sababu ya ushauri usioyumba. Wabongo hawapendi uwaambie waache wanachokipenda.
Byanaku?Aisee ndio kumbukumbu zimekuja. Huyu ni mkewe anaitwa Sophia Byanaku alishawahi kushiriki mambo ya ulimbwende miaka hiyo
Na nimewekwa Wakhfuu Mbinguni pia!!Kumbe unanyonya wenzako, utakuwa ni mbarikiwa wewe.
Kama kina madhara, kwa ninu nisipende?Kwani wewe unapenda kuambiwa uache unachokipenda??
Kuna mtu huko nyuma amesema alimuona harusini, na haishi kama ushauri wake wa public ulivyo.Prof Janabi wala si wa kupenda kuonekana. Ila majukumu yake yanamuweka front.
Lakini umaarufu wake si kwa sababu ya uprof wala Ukurugenzi, bali ni kwa sababu ya ushauri usioyumba. Wabongo hawapendi uwaambie waache wanachokipenda.
Una uhakika ama kila unachoambiwa wewe unakubali tu?Kuna mtu huko nyuma amesema alimuona harusini, na haishi kama ushauri wake wa public ulivyo.
Hiyo ikoje daktaree?
Chenye madhara inabidi ukichukie wewe mwenyewe sio Hadi uambiwe,,,na huwezi ukapenda chenye madhara utakuwa na matatizo ya akili au hujitambau kisawasawa.Kama kina madhara, kwa ninu nisipende?
😄😄😄😄Tutamnyonya macho,,akileta upuuzi kwenye Mwili wa Kristo!!
Uteuzi gani mwingine? Prof Janabi alikuwa Daktari binafsi wa Marais Wawili. Akawa Mkurugenzi wa Jakaya Kikwete Cardiac Center na sasa ni Mkurugenzi wa National Hospital, Muhimbili. Atake uteuzi gani mwingine zaidi? Hakuna!.Opportunist....anataka teuzi tu na akaribia kupata
Sio mwanae?Mkewe huyo Jamani.