Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutenga mda wa mazoezi kunakuweka vizuri mpka kiakili , kazi ni kazi mazoezi ni mazoezi .Tatizo la watanzania ni kubishia Watu wenye taaluma zao.
Mwenzako ni Daktari, tena Profesa, anazungumzia jambo kulingana na taaluma yake.
Sasa wewe unatoa maoni yako kwenye taaluma za Watu.
1. Kufanya kazi pekee yake ni mazoezi
2. Kula lishe bora inatosha hata usipofanya mazoezi.
Yupi sasa?Janabi au muanzisha mada?Huyu jamaa alikuwa wapi miaka yote?
Utafikiri kama sio msomi au anataka kuwa mchungaji
ProfessorYupi sasa?Janabi au muanzisha mada?