Tatizo la watanzania ni kubishia Watu wenye taaluma zao.
Mwenzako ni Daktari, tena Profesa, anazungumzia jambo kulingana na taaluma yake.
Sasa wewe unatoa maoni yako kwenye taaluma za Watu.
1. Kufanya kazi pekee yake ni mazoezi
2. Kula lishe bora inatosha hata usipofanya mazoezi.