Profesa Janabi hakuwa sahihi, si kila mtu anahitaji kufanya uchunguzi wa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi

Kumsikiliza Janabi ni kujiongezea stress!Ila Watanzania walivyo wapumbavu Janabi akija na kuwaambia kunyweni mkojo wa Mmbwa mtakunywa si kasema Propesa hakosei.Hii Nchi Ina laaana.
 
Huyu jamaa alikuwa wapi miaka yote?
Utafikiri kama sio msomi au anataka kuwa mchungaji
 
Kutenga mda wa mazoezi kunakuweka vizuri mpka kiakili , kazi ni kazi mazoezi ni mazoezi .

Kila binadamu anafanya kazi ila sio kila binadamu anafanya mazoezi .

Lishe bora na mazoezi ni bora zaidi.
 
Ahsante kwa muongozo... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: Antonnia
 
Wacheni ushamba, wachezaji wangapi ulaya wamefia uwanjani na Kuna vipimo vya afya kibao na wataalam waliobobea kuliko janabi. Kuna baadhi ya changamoto za kiafya zipo nje ya uwezo wa kitaaluma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…