Profesa Jay aruhusiwa kurejea nyumbani!

Profesa Jay aruhusiwa kurejea nyumbani!

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Hali ya ex MP imekuwa shwari kama bahari ya hindi! Alipatiwa matibabu kwa siku 127 na sasa yupo Gado. Waliokuwa wanamuombea mabaya salamu ziwafikie huko walipo!
20220610_122004.jpg

Picha: Moja ya pozi la Joseph Haule kipindi akiwa na afya tele​
===
Hospitali ya Taifa Muhimbili imesema kuwa msanii Joseph Haule, maarufu Prof. Jay, jana aliruhusiwa kurejea nyumbani baada ya afya yake kuimarika.

Prof. Jay amekuwa hospitali hapo kwa siku 127 akipatiwa matibabu
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili imesema Joseph Haule (Profesa Jay) ameruhusiwa kutoka Hospitalini jana na kwenda nyumbani baada ya hali yake kiafya kuonekana kuimarika.

Msanii huyu nguli wa Bongofleva ameruhusiwa kutoka Hospitalini baada ya siku 127 za kutibiwa kwenye Hospitali hii ya Taifa iliyopo Jijini Dar es salaam.
Source millard
 
Hali ya ex MP imekuwa shwari kama bahari ya hindi! Alipatiwa matibabu kwa siku 127 na sasa yupo Gado. Waliokuwa wanamuombea mabaya salamu ziwafikie huko walipo!
Hizi ni Habari njema sana kwa Mashabiki zake na wananchi wa Mikumi...
Mungu aendelee kumponya Legendary huyu...
 
Taarifa ya Wizara ya Afya iliyosambazwa kwa vyombo vya habari , inaeleza kwamba Mbunge wa zamani wa Mikumi na kiongozi wa Chadema , Profesa J ameruhusiwa kuondoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuelekea nyumbani kwake baada ya Afya yake kuimarika .

Profesa J amedumu Hospitalini hapo kwa siku 127 .

Tumshukuru Mungu .
 
Taarifa ya Wizara ya Afya iliyosambazwa kwa vyombo vya habari , inaeleza kwamba Mbunge wa zamani wa Mikumi na kiongozi wa Chadema , Profesa J ameruhusiwa kuondoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuelekea nyumbani kwake baada ya Afya yake kuimarika .

Profesa J amedumu Hospitalini hapo kwa siku 127 .

Tumshukuru Mungu .
Mungu ni Mwema. Karibu ktk HARAKATI Kamanda.
 
Taarifa ya Wizara ya Afya iliyosambazwa kwa vyombo vya habari , inaeleza kwamba Mbunge wa zamani wa Mikumi na kiongozi wa Chadema , Profesa J ameruhusiwa kuondoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuelekea nyumbani kwake baada ya Afya yake kuimarika .

Profesa J amedumu Hospitalini hapo kwa siku 127 .

Tumshukuru Mungu .
Asante Yesu
 
Asante Mungu kwa kumpigania heavy weight Mc.

Pia Pongezi kwa wote waliomsaidia kifedha pia maana kukaa Siku 127 ICU muhimbili kwa ugonjwa wa figo. Sio chini ya milioni 150 zimetumika
 
Back
Top Bottom