Profesa Jay aruhusiwa kurejea nyumbani!

Profesa Jay aruhusiwa kurejea nyumbani!

Anaumwa nn huyu profesa? Usikute anahangaika hospitali kumbe mm najua dawa za mitishamba.

Ndiyo maana nataka wamasai wa Ngorongoro wahame ili miti dawa isitawi vizuri huko.

Huko wanakotakiwa wahamie hiyo miti dawa ipo.
 
nn cha mno kwa msanii wetu ? Tunamwombea afya na maisha marefu.
 
Anaumwa nn huyu profesa? Usikute anahangaika hospitali kumbe mm najua dawa za mitishamba.

Ndiyo maana nataka wamasai wa Ngorongoro wahame ili miti dawa isitawi vizuri huko.
Acha ujinga wewe utopolo
 
Habari njema hizi, ama kwa hakika Mungu ni mwema kila wakati.
 
Mwanamuziki mkongwe na mbunge wa zamani wa jimbo la Mikumi Joseph Haule aka profesa Jay karuhusiwa rasmi kutoka hospitali ya rufaa ya muhimbili alikokaa kwa zaidi ya siku 125

Mwamba profesa Jay karuhusiwa kutoka hospitalini baada ya hali yake kutengamaa kwa kiasi kikubwa kulinganisha na wakati analetwa hospitalini hapo
 
Hali ya ex MP imekuwa shwari kama bahari ya hindi! Alipatiwa matibabu kwa siku 127 na sasa yupo Gado. Waliokuwa wanamuombea mabaya salamu ziwafikie huko walipo!
View attachment 2256151
Picha: Moja ya pozi la Joseph Haule kipindi akiwa na afya tele​
===
Hospitali ya Taifa Muhimbili imesema kuwa msanii Joseph Haule, maarufu Prof. Jay, jana aliruhusiwa kurejea nyumbani baada ya afya yake kuimarika.

Prof. Jay amekuwa hospitali hapo kwa siku 127 akipatiwa matibabu
Mungu ni mwema ashukuriwe yeye na madaktari.
 
Back
Top Bottom