Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Anaumwa nn huyu profesa? Usikute anahangaika hospitali kumbe mm najua dawa za mitishamba.
Ndiyo maana nataka wamasai wa Ngorongoro wahame ili miti dawa isitawi vizuri huko.
Huko wanakotakiwa wahamie hiyo miti dawa ipo.