Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaumwa nn huyu profesa? Usikute anahangaika hospitali kumbe mm najua dawa za mitishamba.
Ndiyo maana nataka wamasai wa Ngorongoro wahame ili miti dawa isitawi vizuri huko.
ngoja yeye mwenyewe sasa aongee , maana yuko nyumbani , tunahisi ni yale mambo ya kutiliana vitu kwenye maji au chakulaAnaumwa nn huyu profesa? Usikute anahangaika hospitali kumbe mm najua dawa za mitishamba.
Ndiyo maana nataka wamasai wa Ngorongoro wahame ili miti dawa isitawi vizuri huko.
Duuh! Yawezekana aiseengoja yeye mwenyewe sasa aongee , maana yuko nyumbani , tunahisi ni yale mambo ya kutiliana vitu kwenye maji au chakula
MUNGU ni mkubwa sn, waliomzushia kifo aibu yaoTaarifa ya Wizara ya Afya iliyosambazwa kwa vyombo vya habari , inaeleza kwamba Mbunge wa zamani wa Mikumi na kiongozi wa Chadema , Profesa J ameruhusiwa kuondoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuelekea nyumbani kwake baada ya Afya yake kuimarika .
Profesa J amedumu Hospitalini hapo kwa siku 127 .
Tumshukuru Mungu .
Ameshindwa zidi ya nani?Mungu ni mwema shetani kashindwa
Anatakiwa awasamehe wote bureSafi sana. Aibu mno kwa waliomkebehi,kumdhihaki na kumdhalilisha wakati akiwa mahututi. Mwenyezi Mungu ni mwema daima
Hapo hapo Ufipa st?ngoja yeye mwenyewe sasa aongee , maana yuko nyumbani , tunahisi ni yale mambo ya kutiliana vitu kwenye maji au chakula
Unapopewa mitihani na Mwalimu haimaanishi kuwa hauna akili, isipokuwa anapima uelewa wako umekaaje?