Anaumwa nn huyu profesa? Usikute anahangaika hospitali kumbe mm najua dawa za mitishamba.
Ndiyo maana nataka wamasai wa Ngorongoro wahame ili miti dawa isitawi vizuri huko.
Acha ujinga wewe utopoloAnaumwa nn huyu profesa? Usikute anahangaika hospitali kumbe mm najua dawa za mitishamba.
Ndiyo maana nataka wamasai wa Ngorongoro wahame ili miti dawa isitawi vizuri huko.
Hahaha! Sina hakika mkuuHuko wanakotakiwa wahamie hiyo miti dawa ipo.
Prof J's family did not disclosed any information about the illness he was/is suffering until his discharging today but rumors are he has kidney problem.nn cha mno kwa msanii wetu ? Tunamwombea afya na maisha marefu.
Dah! Harakati gani mkuu au kuunga juhudi🤣??Mungu ni Mwema. Karibu ktk HARAKATI Kamanda.
We vp ule wimbo mbn hauna matusiAsiimbe tena ule wimbo wa "utaniambia nn" Mungu hapendi hayo maneno.
Well Noted MkuuAnaumwa nn huyu profesa? Usikute anahangaika hospitali kumbe mm najua dawa za mitishamba.
Ndiyo maana nataka wamasai wa Ngorongoro wahame ili miti dawa isitawi vizuri huko.
KATIBA mpya. AmenDah! Harakati gani mkuu au kuunga juhudi🤣??
Mungu ni mwema ashukuriwe yeye na madaktari.Hali ya ex MP imekuwa shwari kama bahari ya hindi! Alipatiwa matibabu kwa siku 127 na sasa yupo Gado. Waliokuwa wanamuombea mabaya salamu ziwafikie huko walipo!
View attachment 2256151===
Picha: Moja ya pozi la Joseph Haule kipindi akiwa na afya tele
Hospitali ya Taifa Muhimbili imesema kuwa msanii Joseph Haule, maarufu Prof. Jay, jana aliruhusiwa kurejea nyumbani baada ya afya yake kuimarika.
Prof. Jay amekuwa hospitali hapo kwa siku 127 akipatiwa matibabu