Profesa Jean Messengue wa saikolojia , adai kushuka kwa maadili ya wanawake Afrika , chanzo cha vijana kutokuoa, Asema kufika 2030 ndoa zitakua hazipo

Profesa Jean Messengue wa saikolojia , adai kushuka kwa maadili ya wanawake Afrika , chanzo cha vijana kutokuoa, Asema kufika 2030 ndoa zitakua hazipo

gwanseri

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
379
Reaction score
1,081
Kwa mtazamo wake
Profesa huyo wa ivory coast akijibu maswali mbalimbali kwenye redio moja amenena hayo,
Adai wanawake Kutokua na adabu na kuiga umagharibi ni chanzo cha kuharibu taasisi ya ndoa Afrika.
atabiri kufika 2030 ndoa zitakua hazipo na kama zitakuepo ni kwa uchache Sana.
Atoa wito kwa wanawake wa Afrika kurudi kwenye maadili yao
Asema maadili ya Afrika yameharibiwa na utandawazi na wanawake wamekubali kupokea kila kitu,
Alipoulizwa juu ya single mother na wajane amesema hata zamani yalikuepo na kundi Hilo liliolewa kwa heshima na kudumu kwenye ndoa zao,
Amewaasa vijana wa Afrika kutokukata tamaa kujenga familia Bora hasa kuoa watu sahihi kwani moja ya mafanikio kwa mwanaume ni kua na familia Bora ,
Lakini pia amewaasa wanawake kutobeba kila kitu wanachoona kwenye mitandao kama uhalisia maana akitolea mfano ulaya toka karne ya 19 ndoa ilikufa na wakaanza mikataba na kuviziana kwenye Mali huku wakijitengenezea msongo wa mawazo,
Je ushauri wake tuuchukue au iweje kazi kwenu.
 
Kwa mtazamo wake
Profesa huyo wa ivory coast akijibu maswali mbalimbali kwenye redio moja amenena hayo,
Adai wanawake Kutokua na adabu na kuiga umagharibi ni chanzo cha kuharibu taasisi ya ndoa Afrika.
atabiri kufika 2030 ndoa zitakua hazipo na kama zitakuepo ni kwa uchache Sana.
Atoa wito kwa wanawake wa Afrika kurudi kwenye maadili yao
Asema maadili ya Afrika yameharibiwa na utandawazi na wanawake wamekubali kupokea kila kitu,
Alipoulizwa juu ya single mother na wajane amesema hata zamani yalikuepo na kundi Hilo liliolewa kwa heshima na kudumu kwenye ndoa zao,
Amewaasa vijana wa Afrika kutokukata tamaa kujenga familia Bora hasa kuoa watu sahihi kwani moja ya mafanikio kwa mwanaume ni kua na familia Bora ,
Lakini pia amewaasa wanawake kutobeba kila kitu wanachoona kwenye mitandao kama uhalisia maana akitolea mfano ulaya toka karne ya 19 ndoa ilikufa na wakaanza mikataba na kuviziana kwenye Mali huku wakijitengenezea msongo wa mawazo,
Je ushauri wake tuuchukue au iweje kazi kwenu.
Hakika kwenye ndoa mtihani mkubwa sana!
Tena ukutane na demu mwenye umagharibi mwingi umekwisha!
 
Ni
Kwa mtazamo wake
Profesa huyo wa ivory coast akijibu maswali mbalimbali kwenye redio moja amenena hayo,
Adai wanawake Kutokua na adabu na kuiga umagharibi ni chanzo cha kuharibu taasisi ya ndoa Afrika.
atabiri kufika 2030 ndoa zitakua hazipo na kama zitakuepo ni kwa uchache Sana.
Atoa wito kwa wanawake wa Afrika kurudi kwenye maadili yao
Asema maadili ya Afrika yameharibiwa na utandawazi na wanawake wamekubali kupokea kila kitu,
Alipoulizwa juu ya single mother na wajane amesema hata zamani yalikuepo na kundi Hilo liliolewa kwa heshima na kudumu kwenye ndoa zao,
Amewaasa vijana wa Afrika kutokukata tamaa kujenga familia Bora hasa kuoa watu sahihi kwani moja ya mafanikio kwa mwanaume ni kua na familia Bora ,
Lakini pia amewaasa wanawake kutobeba kila kitu wanachoona kwenye mitandao kama uhalisia maana akitolea mfano ulaya toka karne ya 19 ndoa ilikufa na wakaanza mikataba na kuviziana kwenye Mali huku wakijitengenezea msongo wa mawazo,
Je ushauri wake tuuchukue au iweje kazi kwenu.
swala la muda tu duniani kote mfumo wa maisha utakuwa kama wa ulaya ulaya tu.
Ni full kusota hadi maji tuite mma
 
Chanzo ni mishuleshule na vyuovyuo wasomi wa kike wamekuwa wengi sana. Jimama likisoma sana linakuwa halina mentality ya kuolewa ni full uanaharakati wa haki za wanawake. Wamesusiwa ndoa kwa tabia zao mbaya. Ndio hawa masingo mama masomi yanaishi na watoto bila baba na kila mtoto ana baba yake! Tunajua wanawake wenye taaluma mbalimbali wasiooleka kutokana na jeuri ya ajira zao
 
Chanzo ni mishuleshule na vyuovyuo wasomi wa kike wamekuwa wengi sana. Jimama likisoma sana linakuwa halina mentality ya kuolewa ni full uanaharakati wa haki za wanawake. Wamesusiwa ndoa kwa tabia zao mbaya. Ndio hawa masingo mama masomi yanaishi na watoto bila baba na kila mtoto ana baba yake! Tunajua wanawake wenye taaluma mbalimbali wasiooleka kutokana na jeuri ya ajira zao
Ukweli wanawake wa kiafrika wanaiga kila kitu bila kujua
 
We uogopi 🙄🙄🙄 alowaambia tunashida sana ya kuolewa nani? Punguzeni kujipa umuhimu.
Profeswa ni mmoja tyuuu, le profesa janabiii, mutu wa watu. Hata maji hanywi na anaishi 😀😀😀😀
2025 njooni na story mupyamupya, hizi sio ngeni kabisa mjini
 
We uogopi 🙄🙄🙄 alowaambia tunashida sana ya kuolewa nani? Punguzeni kujipa umuhimu.
Profeswa ni mmoja tyuuu, le profesa janabiii, mutu wa watu. Hata maji hanywi na anaishi 😀😀😀😀
2025 njooni na story mupyamupya, hizi sio ngeni kabisa mjini
Broke woman as usual
 
Professor kaongea hali halisi iliopo na inayoendelea hapa Africa,kuiga umagharibi imekuwa kama fashion Kwa sasa Africa,tamaduni zetu ni nzuri sana hadi sasa,tukizifata ipasavyo hakutakuwa na usingo mother,kizazi kitastawi vyema na maendeleo yatapatikana.
 
Back
Top Bottom