Pre GE2025 Profesa Juma Kapuya atangaza kugombea ubunge jimbo la Kaliua 2025

Pre GE2025 Profesa Juma Kapuya atangaza kugombea ubunge jimbo la Kaliua 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.

Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.

Huyu hapa

View attachment 3012038
Usisahau na Mbowe kugombea Uwenyekiti wa Chadema 2024 na akipata atakuwa Mwenyekiti kwa miaka 30 mfululizo! Ahahahahaha!!!
 
Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.

Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.

Huyu hapa

View attachment 3012038
Mzee tuaachee possess zilepesa zoteee zimeisha mpaka unataka kuaibika tenaaa zamuyavijana bana...
 
Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.

Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.

Huyu hapa

Hawa wazee wajinga sana, amesahau ni nini serikalini? kutwa vijana mjiajiri lakini wao wanataka kufia madarakani
 
Back
Top Bottom