Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wandugu tuelimishane,ni you tofauti ya Bupeji ,covidal na nimricaf ,ipi inatibu mini na ni nani mtengenezaji na je tayari zina Hati miliki?Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi amewaeleza watanzania waishio Ufaransa kuwa Tanzania imechukua hatua zote muhimu katika kupambana na Corona.
Prof Kabudi ambaye yuko ziarani nchini Ufaransa ametaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kutafiti na hatimaye kugundua dawa ya covido ambayo imesaidia wengi.
Prof Kabudi alitoa chupa ya dawa ya covido na kuitambulisha kwa wenyeji wake ambao waliipokea na kuipongeza Tanzania kwa hatua hiyo kubwa waliyofikia
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Imani yangu ni kuwa wakati mwingine humu tunajibishasha na robotiChadema wanajidharau sana aiee!
Wanaamini hawawezi kufanya chochote isipokuwa mzungu tu.
Hizi akili ndio maana yule mgombea wao baada ya dili la urais kubuma akaona hawezi kuishi tz maana keshazoea kwa wazungu.
Nimricaf ni chachandu iliyochangamka.Wandugu tuelimishane,ni you tofauti ya Bupeji ,covidal na nimricaf ,ipi inatibu mini na ni nani mtengenezaji na je tayari zina Hati miliki?
Palama gamba kabudi ni mzalendo wa tatu baada ya magufuli
Wa kwanza ni mwl NYERERE.
Wandugu tuelimishane,ni you tofauti ya Bupeji ,covidal na nimricaf ,ipi inatibu mini na ni nani mtengenezaji na je tayari zina Hati miliki?
Ndiyo ile chachandu?Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi amewaeleza watanzania waishio Ufaransa kuwa Tanzania imechukua hatua zote muhimu katika kupambana na Corona.
Prof Kabudi ambaye yuko ziarani nchini Ufaransa ametaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kutafiti na hatimaye kugundua dawa ya covido ambayo imesaidia wengi.
Prof Kabudi alitoa chupa ya dawa ya covido na kuitambulisha kwa wenyeji wake ambao waliipokea na kuipongeza Tanzania kwa hatua hiyo kubwa waliyofikia
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Beba box hizi mambo zimekuzidiKama ni kweli, basi hii serikali yote ya Magufuli ni visebengo!
Utambulisho ulifanyika wapi na liniJealous is like a sand in your eyes,it can stop your eyes from seeing clearly,Covidol and9 Bupiji were all introduced in Tanzania,but as you are full of negativity to your government, you heard not.
Ndo ushangae sasa !UPUUZI MTUPU! Dawa ya COVID kutoka Tanzania mbona Mpango hakupewa? Mbona Shariff Hamad hakupewa?
Hiyo dawa walisahau kumpa kijazi,ccm awamu hii imejaa vichaa wengi ila hamjuani kua ni vichaaWaziri wa mambo ya nje Prof Kabudi amewaeleza watanzania waishio Ufaransa kuwa Tanzania imechukua hatua zote muhimu katika kupambana na Corona.
Prof Kabudi ambaye yuko ziarani nchini Ufaransa ametaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kutafiti na hatimaye kugundua dawa ya covido ambayo imesaidia wengi.
Prof Kabudi alitoa chupa ya dawa ya covido na kuitambulisha kwa wenyeji wake ambao waliipokea na kuipongeza Tanzania kwa hatua hiyo kubwa waliyofikia
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kimambuchu weweChadema wanajidharau sana aiee!
Wanaamini hawawezi kufanya chochote isipokuwa mzungu tu.
Hizi akili ndio maana yule mgombea wao baada ya dili la urais kubuma akaona hawezi kuishi tz maana keshazoea kwa wazungu.
Imewasaidia wagonjwa wangapi kati ya wagonjwa wangapi walioinywa?Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi amewaeleza watanzania waishio Ufaransa kuwa Tanzania imechukua hatua zote muhimu katika kupambana na Corona.
Prof Kabudi ambaye yuko ziarani nchini Ufaransa ametaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kutafiti na hatimaye kugundua dawa ya covido ambayo imesaidia wengi.
Prof Kabudi alitoa chupa ya dawa ya covido na kuitambulisha kwa wenyeji wake ambao waliipokea na kuipongeza Tanzania kwa hatua hiyo kubwa waliyofikia
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
AiseeeKama ni kweli, basi hii serikali yote ya Magufuli ni visebengo!
Hiyo ni Export version, ila ya matumizi ya ndani BujigiMbona hapa tz hajaitambulisha?
AiseeeePalama gamba kabudi ni mzalendo wa tatu baada ya magufuli
Wa kwanza ni mwl NYERERE.