Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ile aliyoifuata Madagascar na ndege yetu hajaibeba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangemalizia kabisa iwe DavidoCovido....
Duuh!
Ndio shida ilipo wenzao wanaweza elezea jinsi virus anavyo attack mwili, changamoto za immune system kabla ya kuilewa virus na namna vaccine zao zinavyoweza instruct ‘T cells’ kupambana na virus baada ya kumsoma.Imewasaidia wagonjwa wangapi kati ya wagonjwa wangapi walioinywa?
Ufanisi wake ni asilimia ngapi?
Je, maudhi yake ni yapi?
Je, inafanyaje kazi?
Je, inakaa kwenye damu kwa muda gani?
Je, inatolewaje mwilini?
Inaisha mwilini baada ya siku ngapi?
Je, hii ni dawa au tiba-lishe?
Haya ni baadhi ya maswali niliyonayo juu ya "dawa" hii.
We saa zote uko kwenye keyboard kuinanga serikali utasikiaje?Mbona hapa tzWe skila iku uko kwenye keyboard hajaitambulisha?
Kabisa mkuu! Kuna muda unaona chadema amecoment akimtetemekea mzungu mpka unawaza huyu ni mtu au katuni?Imani yangu ni kuwa wakati mwingine humu tunajibishasha na roboti
Wewe ni moja ya chadema wanaojidharau sana!Kimambuchu wewe
Chanjo ya China na ile ya Urusi hao WHO na USA FDA walishakataa kuzitambua (approve). Hata hii dawa yetu ya Covido tulishawapelekea wakakataa kuipa approval bila hata kuifanyia utafiti. Sisi tunaendelea na ipo siku wataona ukweli wake. Kabudi kawapa wafaransa, bila shaka wataifanyia kazi na kuwaonesha ulimwengu maajabu ya hiyo Tz Covido. Tuvute subira, watatutambua tu.Ni dawa au chanjo, watanzania kwa mbwembwe basi waipeleke WHO na CDC isije ikawa kama ile ya Madagascar.
Ni kweli mkuuWaziri wa mambo ya nje Prof Kabudi amewaeleza watanzania waishio Ufaransa kuwa Tanzania imechukua hatua zote muhimu katika kupambana na Corona.
Prof Kabudi ambaye yuko ziarani nchini Ufaransa ametaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kutafiti na hatimaye kugundua dawa ya covido ambayo imesaidia wengi.
Prof Kabudi alitoa chupa ya dawa ya covido na kuitambulisha kwa wenyeji wake ambao waliipokea na kuipongeza Tanzania kwa hatua hiyo kubwa waliyofikia
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Vipi ile BUPIJI je? Hakuiongelea mh!!!??Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi amewaeleza watanzania waishio Ufaransa kuwa Tanzania imechukua hatua zote muhimu katika kupambana na Corona.
Prof Kabudi ambaye yuko ziarani nchini Ufaransa ametaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kutafiti na hatimaye kugundua dawa ya covido ambayo imesaidia wengi.
Prof Kabudi alitoa chupa ya dawa ya covido na kuitambulisha kwa wenyeji wake ambao waliipokea na kuipongeza Tanzania kwa hatua hiyo kubwa waliyofikia
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Jealous is like a sand in your eyes,it can stop your eyes from seeing clearly,Covidol and Bupiji were all introduced in Tanzania,but as you are full of negativity to your government, you heard not.
KitovuKimambuchu wewe
Nasikia zimeoridheshwa dawa kama nane hivi zilizotambuliwa na serikali na zinauzwa pharmacy ya NakieteMbona hapa tz hajaitambulisha?
Lushoto pia kuna kikombe!Nasikia zimeoridheshwa dawa kama nane hivi zilizotambuliwa na serikali na zinauzwa pharmacy ya Nakiete
Chupa 1 kwa watanzania wote waishio France?Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi amewaeleza watanzania waishio Ufaransa kuwa Tanzania imechukua hatua zote muhimu katika kupambana na Corona.
Prof Kabudi ambaye yuko ziarani nchini Ufaransa ametaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kutafiti na hatimaye kugundua dawa ya covido ambayo imesaidia wengi.
Prof Kabudi alitoa chupa ya dawa ya covido na kuitambulisha kwa wenyeji wake ambao waliipokea na kuipongeza Tanzania kwa hatua hiyo kubwa waliyofikia
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mimi nipo Bukoli nitafika vipi huko Lushoto?Lushoto pia kuna kikombe!