Profesa Kabudi aitambulisha dawa ya COVIDOL nchini Ufaransa, wenyeji wake waikubali na kuipokea

Chadema wanajidharau sana aiee!

Wanaamini hawawezi kufanya chochote isipokuwa mzungu tu.

Hizi akili ndio maana yule mgombea wao baada ya dili la urais kubuma akaona hawezi kuishi tz maana keshazoea kwa wazungu.
 
Wandugu tuelimishane,ni you tofauti ya Bupeji ,covidal na nimricaf ,ipi inatibu mini na ni nani mtengenezaji na je tayari zina Hati miliki?
 
Chadema wanajidharau sana aiee!

Wanaamini hawawezi kufanya chochote isipokuwa mzungu tu.

Hizi akili ndio maana yule mgombea wao baada ya dili la urais kubuma akaona hawezi kuishi tz maana keshazoea kwa wazungu.
Imani yangu ni kuwa wakati mwingine humu tunajibishasha na roboti
 
Wandugu tuelimishane,ni you tofauti ya Bupeji ,covidal na nimricaf ,ipi inatibu mini na ni nani mtengenezaji na je tayari zina Hati miliki?
Nimricaf ni chachandu iliyochangamka.
 
Tumi Bupeji iliyotajwa na mwenye Mamlaka
Wandugu tuelimishane,ni you tofauti ya Bupeji ,covidal na nimricaf ,ipi inatibu mini na ni nani mtengenezaji na je tayari zina Hati miliki?
 
Ndiyo ile chachandu?
 
Jealous is like a sand in your eyes,it can stop your eyes from seeing clearly,Covidol and9 Bupiji were all introduced in Tanzania,but as you are full of negativity to your government, you heard not.
Utambulisho ulifanyika wapi na lini
 
Hiyo dawa walisahau kumpa kijazi,ccm awamu hii imejaa vichaa wengi ila hamjuani kua ni vichaa
 
Chadema wanajidharau sana aiee!

Wanaamini hawawezi kufanya chochote isipokuwa mzungu tu.

Hizi akili ndio maana yule mgombea wao baada ya dili la urais kubuma akaona hawezi kuishi tz maana keshazoea kwa wazungu.
Kimambuchu wewe
 
Imewasaidia wagonjwa wangapi kati ya wagonjwa wangapi walioinywa?
Ufanisi wake ni asilimia ngapi?
Je, maudhi yake ni yapi?
Je, inafanyaje kazi?
Je, inakaa kwenye damu kwa muda gani?
Je, inatolewaje mwilini?
Inaisha mwilini baada ya siku ngapi?
Je, hii ni dawa au tiba-lishe?
Haya ni baadhi ya maswali niliyonayo juu ya "dawa" hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…