Profesa Kabudi amtembelea Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, wasema uchaguzi umekwisha sasa kazi tu!


Nimecheka kwa nguvu, sasa nimeamini ukhanithi sasa basi.
 
Seif bwana! Hivi Jussa amepona? Anaendeleaje? Kwa ujinga wangu nafasi hiyo hukustahili hata kidogo, na maneno unayotoa hayatokani na utashi wako, sasa ona unapata shida yakupasa utoe kauli za kujipendekeza, Mh Mwinyi anahekima sana alikuomba muunde serikali, ungemtafutia kijana ashughulike nae nawe ungekuwa unashauri na kuangalia mwelekeo!
 
Saa hizi hakuna wa kuwapinga hata matembezi ni habari! 5 tena
 
Damu iliyomwagika pale Pemba imeshasaulika na maisha yanaendelea manyumbu sisi
 
Hongera Prof. Kabudi na Makamu wa Kwanza Wa Rais Maalim Seif kwa hatua hiyo ili tuimarishe uchumi wetu.
Yaani muavunje Vijana miguu wakati wa uchaguzi halafu huyo Mzee mliyemrubuni ndiyo ataweza kuujenga na kuimarisha uchumi?? Hilo pia siyo ajabu kwenye awamu hii kwani kuna Kiongozi Mkubwa aliwahi kuomba msaada Zimbabwe.
 
Muislam gani aliyekula nguruwe? Nafikiri hamkujiandaa kujua deals wanasiasa wanazofanya huwa zinafanana
Alisema hataki UKHANITHI, leo yuko kwenye UKHANITHI, si kula nguruwe huko!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…