Waziri wa foreign affairs Prof Kabudi na watendaji wakuu wa wizara yake wamekutana na makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar maalim Seif na kukubaliana kuchapa kazi kwa pamoja.
Maalim Seif amesema uchaguzi umekwisha aliyepata kapata na aliyekosa amekosa cha muhimu ni watanzania kuungana pamoja katika kujiletea maendeleo.
Naye Prof Kabudi ameihakikishia serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar kuipa kila aina ya ushirikiano itakaohitaji ikiwemo kuutangaza utalii wa Zanzibar kimataifa.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hao ni waislamu wa zamaniSi sahihi kwa muislamu kula nguruwe!
Mh! ngoja wajeHao ni waislamu wa zamani
🏃🏃🏃🏃Mh! ngoja waje
Yaani muavunje Vijana miguu wakati wa uchaguzi halafu huyo Mzee mliyemrubuni ndiyo ataweza kuujenga na kuimarisha uchumi?? Hilo pia siyo ajabu kwenye awamu hii kwani kuna Kiongozi Mkubwa aliwahi kuomba msaada Zimbabwe.Hongera Prof. Kabudi na Makamu wa Kwanza Wa Rais Maalim Seif kwa hatua hiyo ili tuimarishe uchumi wetu.
Mmeshaziandaa risasi na mdunguaji mzuri? Hadi 2025 mtakuwa mmeshadunguana wenyewe kwa wenyewe Bwashee.Mwambie Tundu Lisu arudi nyumbani tujenge nchi!
Si sahihi kwa muislamu kula nguruwe!
Alisema hataki UKHANITHI, leo yuko kwenye UKHANITHI, si kula nguruwe huko!Muislam gani aliyekula nguruwe? Nafikiri hamkujiandaa kujua deals wanasiasa wanazofanya huwa zinafanana
Risasi za Ufipa zile!Mmeshaziandaa risasi na mdunguaji mzuri? Hadi 2025 mtakuwa mmeshadunguana wenyewe kwa wenyewe Bwashee.
Alidanganywa na Tundu Lisu!Alisema hataki UKHANITHI, leo yuko kwenye UKHANITHI, si kula nguruwe huko!
Ndiyo Muislamu kula Nguruwe, ie. uharamu wa SUK kwa Maalim ni sawa na Muislamu kula nguruweDamu iliyomwagika pale Pemba imeshasaulika na maisha yanaendelea manyumbu sisi
Njaa hainaga haramu RetiredSi sahihi kwa muislamu kula nguruwe!
Demokrasia ina gharama zake!Damu iliyomwagika pale Pemba imeshasaulika na maisha yanaendelea manyumbu sisi
Waziri wa foreign affairs Prof Kabudi na watendaji wakuu wa wizara yake wamekutana na makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar maalim Seif na kukubaliana kuchapa kazi kwa pamoja.
Maalim Seif amesema uchaguzi umekwisha aliyepata kapata na aliyekosa amekosa cha muhimu ni watanzania kuungana pamoja katika kujiletea maendeleo.
Naye Prof Kabudi ameihakikishia Serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar kuipa kila aina ya ushirikiano itakaohitaji ikiwemo kuutangaza utalii wa Zanzibar kimataifa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kwenye baa la njaa kama jangwani waislamu wanaruhusiwa kula nguruwe!Ndiyo Muislamu kula Nguruwe, ie. uharamu wa SUK kwa Maalim ni sawa na Muislamu kula nguruwe