Profesa Kabudi awasili Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi

Profesa Kabudi awasili Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi

Tatizo unatumia lugha mbili kuzungumzia jambo moja kuhusu idadi ya chanjo zinazodaiwa hazifai, wakati mamilioni ya chanjo ni tofauti na chanjo 1.5 milion.
Swala muhimu hapa ni kwamba kuna chanjo ambazo hazifai na tayari ziko sokoni. Huwezi kuupuuza ukweli kwakuwa tu umesemwa na usiyempenda.
 
astra zaneca didnt work agaisnt covid variant of south africa. so they switched to another one.currently they took j&j.
Can you estimate the harm it has caused those who had already taken astrazeneca shots?!
 
Sio Madagascar tena sasa ni nchini Ufaransa hali ikishakuwa tete sio. Tusubiri atarudi na chanjo au Novida tena.
Atatuletea 'novida' bila shaka!😅
Matokeo ya Madagascar juice yalishatoka??
Nchi hii kwa komedi! Hakunaga

Everyday is Saturday................................😎
 
19 February 2021
Paris, Ufaransa

Prof. Palamagamba Kabudi - Ufaransa yaonesha nia ya kukarabati jengo la pili la uwanja wa ndege wa Julius Nyerere.


Ufaransa kuisaidia kukarabati jengo la uwanja wa ndege jijini Dar es Salaam Terminal II Julius Nyerere International Airport


Ufaransa pia imeombwa na Tanzania msaada wa Euro milioni 718 kama mkopo wa kusaidia mipango yake ya maendeleo miundombinu, afya n.k

Source : ITV Tanzania
 
Can you estimate the harm it has caused those who had already taken astrazeneca shots?!
for now yes . with latest report confirmbthe common side effects are only injection site pain, headache, tiredness, muscle aches.
all this signs last about two days to three..depend with person. and only 10% to 15% are experiencing the side effects.
the rest are okay.
 
Haya makampuni yote yanataka kukusanya pesa tu.the truth is still bado hakuna chanjo ya covid iliyopatika Hadi Sasa.WHO wanajua Ila wanapotezea ili makampuni ya beberus yapige hela.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
nani ambae hafanyi biashara hapa. currently magonjwa yote madawa yananunuliwa.
from malaria to HIV to cancer. hakuna madawa ya bure.
hili la covid nalo sishangai.

lakin unaposema hakuna chanjo? nyie wengine mnayo?
tumefanya research yoyote ya kutengeneza chanjo yetu.
au tunasubiria wazungu wahangaike huko halaf sisi ndio tujadili ipi inafaa ipi haifai?
 
Mahusiano yetu ya Kidiplomasia na nchi nyingine yanazidi kuimarika.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi amewasili Jijini Paris Nchini Ufaransa na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean Yves Le Drian.

Katika ziara hiyo ya kikazi ya siku 4 Mheshimiwa Waziri Kabudi atafanya mazungumzo na Taasisi na Jumuiya za Wafanyabiashara Wakubwa wa Ufaransa pamoja na kutekeleza majukumu mengine.

Habari Leo
 
Back
Top Bottom