Profesa Kabudi awasili Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi

Profesa Kabudi awasili Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi

Na kwanini hii ni historical ? Kama ndivyo basi Awamu huwa hazinfanyi kazi dunia hii ambayo ni kijiji kwa sasa muingiliano / maongezi / kukutana ni vitu muhimu na nina uhakika/ ningependa kuona kwamba hata kama asipokwenda huwa anaongea na watu mataifa mbali mbali kila siku.... sababu anaweza kuwa anakwenda huko na cha kuonyesha ikawa ni photo-shooting tu..., na anaweza asiende na aka-accomplish mambo mengi ( na hii ni through diplomasia) sio kuitana Mabeberu wala Kuleta Dhihaka
 
February 19, 2021

Nchi tajiri za G7 zasema lazima kila mmoja wetu apate chanjo ya kuzuia covod-19, ndiyo salama ya dunia.

Viongozi hao wa nchi tajiri zenye viwanda vingi zaidi duniani wameonesha kukubaliana ktk mkutano wao unaofanyika kwa njia ya video conferencing kuhusu mkakati wa kulimaliza dudu hili hatari la Covid-19 ili dunia ibaki salama.

Pandemic will be with us until EVERYONE on earth given Covid-19 vaccine, says Merkel after G7 summit

19 Feb, 2021 17:30

Angela Merkel
Angela MerkelReuters / Annegret Hilse/Pool
The coronavirus pandemic can only be considered beaten once everyone in the world has been immunized against Covid-19, Germany's Chancellor Angela Merkel said, after she'd met with the G7 leaders at a virtual summit on Friday.
Speaking to reporters, Merkel said she had stressed in her remarks to the group that the "pandemic is not over until all people in the world have been vaccinated," adding: "Everyone must participate."
"The [coronavirus] pandemic in particular has shown how much we are diverging from one another, worldwide."

On Friday the head of the EU's executive body, Ursula von der Leyen, said that the bloc would put up €100 million ($121 million) to fund the Covid-19 vaccine rollout in Africa.

Pandemic will be with us until EVERYONE on earth given Covid-19 vaccine, says Merkel after G7 summit​

Haka ka bibi kanazingua, ni chanjo ipi ilishatolewa kwa coverage ya asilimia mia dunia nzima? hivi unaweza kulazimisha kila mtu adungwe chanjo hata kama utashi wake upo kinyume....
 
Kaenda na macho yake yaleyale au kawakewa ya temporary akirudi anarudishiwa yake
 
Hamad’s death is “a clear symbol this pandemic is raging,“ the director of the Africa Centers for Disease Control and Prevention, John Nkengasong, told reporters on Thursday. Source: Tanzania's COVID-denying leader urges prayer as cases climb https://www.washingtonpost.com/worl...leader-urges-prayer-as-cases-climb/2021/02/19
 
for now yes . with latest report confirmbthe common side effects are only injection site pain, headache, tiredness, muscle aches.
all this signs last about two days to three..depend with person. and only 10% to 15% are experiencing the side effects.
the rest are okay.
There is much more to that.
 
Masuala ya uwekezaji yametoka wapi, mmepaniki kumuona walahi, uwekezaji? Nani kakwambia kafuata masuala ya uwekezaji, wachawi roho zinawauma kumuona jamaa anatembea.
Roho inamuuma kama vile maguu alivyoumia baada ya Lissu kupona.
 
Nimesoma kuwa waziri kaomba France wawape au kapeleka ombi wasaidiwe Million 700 Euro ili wakamilishe baadhi ya miradi kama Airport ya Mwanza, ma bus ya mwendo kasi na kufanyiwa ukarabati Terminal 2 Dar.

Mimi sina tatizo na hili lakini sio hii serikali juzi tu ilikuwa matusi na kuwatukana hawa mabeberu na zaidi wakasema nchi hii tajiri sana tumeibiwa sana hatuna shida na pesa zao na bla bla bla nyingi, kulikoni tena anatumwa mtu kwenda kuomba. Kwanini tunakuwa waongo mpaka tunafika tunijadanganya wenyewe. Sina shida kuomba mkopo ni kawaida shida yangu yale majigambo kwenye majukwaa na matusi dhidi ya mabeberu kwa jinsi wanavyowaita.

Na uhakika balozi wa France anajuwa kuhusu haya matusi. Je hii miradi ni muhimu sana kwa sasa mpaka mtu atumwe rasmi kwenda kuomba? au hatuna kitu hatuambiwi tu ndio maana chanjo haitakiwi pesa itatoka wapi.
 
Watu wanafanya mambo yamsingi kutetea taifa mijitu mingine nyuma ya keyboard inaandika ushuzi..
 
Watu wanafanya mambo yamsingi kutetea taifa mijitu mingine nyuma ya keyboard inaandika ushuzi..
🤣 muache matusi muwe na adabu kwenye majukwaa unatukana watu kesho unaenda kupiga magoti mkinyimwa?? usitukane wakunga......
 
Watu wanafanya kazi, mnawasingizia wa naugua, wakiendelea na kazi zao, eti wamesemwa sana, wameamua kutoka, wapuuzi sana nyinyi watu
Unajuwa kwanini watu wanasema haya, kwa sababu serikali inaona aibu kusema tunaenda kuomba. Zamani kukiwa na ziara ya kikazi inatangazwa waziri fulani atafanya ziara kwenda sehemu fulani official. siku hizi utasema wanga kimya kimya kumbe yote ni yale matusi yao hasa huyu mwenye macho makubwa kukicha matusi mabeberu sasa atasema nini anakwenda kwa walewale kuomba tusaidieni. wakukopesha hakuna wameisha.
 
Wa Ubelgiji hana taarifa, na huyu aliyefiwa bado yuko kwenye maombolezo. Wangetibua
 
Mabeberu.... mbona anakwenda kwao tena kavaa barakoa ma..ma..ee
 
Na kwa adabu kabisa wamevaa barakoa[emoji23][emoji23][emoji23]! Anaenda kupiga mzinga kwa mhisani wa maendeleo.
Hawa jamaa huwa wananifurahisha Sana wakienda nje uomba msaada kwa unyenyekevu zaidi wakiambiwa kuhusu demokrasia wanatoa macho hii ni nchi huru tusiingiliwe mambo yetu.Nchi huru haitegemei misaada.
 
Na kwa adabu kabisa wamevaa barakoa[emoji23][emoji23][emoji23]! Anaenda kupiga mzinga kwa mhisani wa maendeleo.
Hawa jamaa huwa wananifurahisha Sana wakienda nje uomba msaada kwa unyenyekevu zaidi wakiambiwa kuhusu demokrasia wanatoa macho hii ni nchi huru tusiingiliwe mambo yetu.Nchi huru haitegemei misaada.
 
22 February 2021
Paris, France

PROFESA KABUDI AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA MAFUTA YA UFARANSA YA TOTAL



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi akiwa Paris ambapo alikutana na uongozi wa kampuni ya Total juzi kuzungumzia ujenzi wa bomba la mafuta ambao unatarajiwa kuanza Machi 2021
source: mwananchi digital

On October 27, 2020, the French group Total signed an agreement with the State of Tanzania (HGA Host Government Agreement), for the construction of the East African Crude Oil Pipeline (EACOP), which will transport crude oil from Uganda to the port of Tanga in Tanzania.

This agreement is essential for the effective start of work and covers various points, namely the rights and obligations of the State, the duties of investors, environmental standards and other relevant standards, liability, the legal framework, arbitration and project closure.

Among others, the signing of the HGA paves the way for negotiations of other important agreements such as the shareholders agreement (SHA), and the agreement on transport and tariffs.

Apache, Total announce first oil discovery offshore of Suriname- oil and gas 360
Apache, Total announce first oil discovery offshore of Suriname

Total and Mozambique sign security pact for $20 billion natural gas project- oil and gas 360
Total and Mozambique sign security pact for $20 billion natural gas project

In addition, you should know that the final investment decision (FID) for the development of the project will be taken by December 2020 or the end of January 2021.

Despite the intervention of groups of French and Ugandan activists who believe that this project does not meet certain environmental criteria, construction of the pipeline is expected to start in the first quarter of 2021 at a cost of $ 3.5 billion, and will last around 3 years and a half. Source Total signs pact with Tanzania for its EACOP pipeline construction project - making headway - Oil & Gas 360
 
6 September 2019

Magufuli urges Museveni to sacrifice Tullow taxes for Total EP Pipeline


President John Pombe Magufuli has advised President Yoweri Museveni to sacrifice part of the 185m USD tax bill charged by the URA to conclude plans for the construction of the crude oil pipeline and begin the project forthwith in order to create jobs. This appears to be a direct response to the last weeks decommissioning of Total E&P of all activities and tenders on the USD 3.5 million crude oil pipeline, infrastructure very key to both countries oil and gas sector prospects, envisaged to propel economic growth. In his response president Yoweri Museveni says an agreement has been reached with his Tanzanian counterpart on delivering the pipeline
Source : NTVUganda
 
Back
Top Bottom