Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Hili sio suala la imani
Hawez enda onana na Mabeberu. Siamini habari hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawez enda onana na Mabeberu. Siamini habari hii.
Tumemuona na kavaa barakoa!!!!Mahusiano yetu ya Kidiplomasia na nchi nyingine yanazidi kuimarika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi amewasili Jijini Paris Nchini Ufaransa na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean Yves Le Drian
Katika ziara hiyo ya kikazi ya siku 4 Mheshimiwa Waziri Kabudi atafanya mazungumzo na Taasisi na Jumuiya za Wafanyabiashara Wakubwa wa Ufaransa pamoja na kutekeleza majukumu mengine.
Habari Leo
Hela za kujenga sgr zimeishaMahusiano yetu ya Kidiplomasia na nchi nyingine yanazidi kuimarika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi amewasili Jijini Paris Nchini Ufaransa na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean Yves Le Drian
Katika ziara hiyo ya kikazi ya siku 4 Mheshimiwa Waziri Kabudi atafanya mazungumzo na Taasisi na Jumuiya za Wafanyabiashara Wakubwa wa Ufaransa pamoja na kutekeleza majukumu mengine.
Habari Leo
Kwenda Kwa beberu?Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Kaenda kujisalimisha kwa mabeberuMahusiano yetu ya Kidiplomasia na nchi nyingine yanazidi kuimarika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi amewasili Jijini Paris Nchini Ufaransa na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean Yves Le Drian
Katika ziara hiyo ya kikazi ya siku 4 Mheshimiwa Waziri Kabudi atafanya mazungumzo na Taasisi na Jumuiya za Wafanyabiashara Wakubwa wa Ufaransa pamoja na kutekeleza majukumu mengine.
Habari Leo
Kwa vipi ni ziara ya k8historia?Mahusiano yetu ya Kidiplomasia na nchi nyingine yanazidi kuimarika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi amewasili Jijini Paris Nchini Ufaransa na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean Yves Le Drian
Katika ziara hiyo ya kikazi ya siku 4 Mheshimiwa Waziri Kabudi atafanya mazungumzo na Taasisi na Jumuiya za Wafanyabiashara Wakubwa wa Ufaransa pamoja na kutekeleza majukumu mengine.
Habari Leo
Wapinzani mmetuchelewesha kwenda kwa MabeberuKaenda kujisalimisha kwa mabeberu
Kwa nini amevaa barakoa,vipi hakwenda na dozi ya Madagascar?.Picha
Mabeberu oyeee!Picha
Vip kuhusu chanjo ya Ebola ?February 19, 2021
Nchi tajiri za G7 zasema lazima kila mmoja wetu apate chanjo ya kuzuia covod-19, ndiyo salama ya dunia.
Viongozi hao wa nchi tajiri zenye viwanda vingi zaidi duniani wameonesha kukubaliana ktk mkutano wao unaofanyika kwa njia ya video conferencing kuhusu mkakati wa kulimaliza dudu hili hatari la Covid-19 ili dunia ibaki salama.
Pandemic will be with us until EVERYONE on earth given Covid-19 vaccine, says Merkel after G7 summit
19 Feb, 2021 17:30
Angela MerkelReuters / Annegret Hilse/Pool![]()
The coronavirus pandemic can only be considered beaten once everyone in the world has been immunized against Covid-19, Germany's Chancellor Angela Merkel said, after she'd met with the G7 leaders at a virtual summit on Friday.
Speaking to reporters, Merkel said she had stressed in her remarks to the group that the "pandemic is not over until all people in the world have been vaccinated," adding: "Everyone must participate."
"The [coronavirus] pandemic in particular has shown how much we are diverging from one another, worldwide."
On Friday the head of the EU's executive body, Ursula von der Leyen, said that the bloc would put up €100 million ($121 million) to fund the Covid-19 vaccine rollout in Africa.
Pandemic will be with us until EVERYONE on earth given Covid-19 vaccine, says Merkel after G7 summit
Profesa tokea jalalani kuwa waziri na kaondoka tokea kwa Mh Mungu akiwa hana barakoa, kwenda kwa beberu Ufaransa kufika huko akavaa barakoa, ndugu lazima tukubali ni ziara ya kihistoria.Kwa vipi ni ziara ya k8historia?
Kaenda kupata kitu cha chanjo ya Modema ana Astrazanneca.Kudadekiiiiiiiiiii chezea korona weweeee.Tena kaenda kumletea chanjo na mzee baba Namba 1.Mahusiano yetu ya Kidiplomasia na nchi nyingine yanazidi kuimarika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi amewasili Jijini Paris Nchini Ufaransa na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean Yves Le Drian
Katika ziara hiyo ya kikazi ya siku 4 Mheshimiwa Waziri Kabudi atafanya mazungumzo na Taasisi na Jumuiya za Wafanyabiashara Wakubwa wa Ufaransa pamoja na kutekeleza majukumu mengine.
Habari Leo
Zara ya kihistoria, maana yake nini??Mahusiano yetu ya Kidiplomasia na nchi nyingine yanazidi kuimarika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi amewasili Jijini Paris Nchini Ufaransa na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean Yves Le Drian
Katika ziara hiyo ya kikazi ya siku 4 Mheshimiwa Waziri Kabudi atafanya mazungumzo na Taasisi na Jumuiya za Wafanyabiashara Wakubwa wa Ufaransa pamoja na kutekeleza majukumu mengine.
Habari Leo