Swala muhimu hapa ni kwamba kuna chanjo ambazo hazifai na tayari ziko sokoni. Huwezi kuupuuza ukweli kwakuwa tu umesemwa na usiyempenda.Tatizo unatumia lugha mbili kuzungumzia jambo moja kuhusu idadi ya chanjo zinazodaiwa hazifai, wakati mamilioni ya chanjo ni tofauti na chanjo 1.5 milion.
Can you estimate the harm it has caused those who had already taken astrazeneca shots?!astra zaneca didnt work agaisnt covid variant of south africa. so they switched to another one.currently they took j&j.
😆😆😆😆Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) jana aliwasili nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa. Jean Yves Le Drian
View attachment 1706279View attachment 1706280
Atatuletea 'novida' bila shaka!😅Sio Madagascar tena sasa ni nchini Ufaransa hali ikishakuwa tete sio. Tusubiri atarudi na chanjo au Novida tena.
Hafahi lazima tumfukuze.Kavunja miiko ya awamu ya tano kuvaa barakoa
Sio barakoa ni Tangawizi 😄😄😠Kazi gani imempeleka bwana mkubwa huyu mana ni mda mrefu sijamuona ziarani......barakoa ya mheshimiwa si ni kitambaa cha shuka kabisa.
for now yes . with latest report confirmbthe common side effects are only injection site pain, headache, tiredness, muscle aches.Can you estimate the harm it has caused those who had already taken astrazeneca shots?!
nani ambae hafanyi biashara hapa. currently magonjwa yote madawa yananunuliwa.Haya makampuni yote yanataka kukusanya pesa tu.the truth is still bado hakuna chanjo ya covid iliyopatika Hadi Sasa.WHO wanajua Ila wanapotezea ili makampuni ya beberus yapige hela.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kwa sababu kaenda kwa tunaowaita mabeberu kujitongozeshaNini kinaifanya hiyo ziara iwe ya kihistoria? Au kwavile ndie waziri wa mambo ya nje wa kwanza kutoka Tanzania ambae ni profesa kufanya ziara Ufaransa?
Kwann asionane na Waziri mkuu wa huko?