Profesa Kabudi: Tanzania inatamani sana Chato ifanane na majiji makubwa ya China ambayo awali yalikuwa ni vijiji vya wavuvi!

Hamna rais wa awamu yoyote aliyependelea kwao kama huyu wa leo usitudanganye,nyie baadaye akishatoka kwenye urais mnaanza magu alikuwa mwizi,fisadai,alipendelea kwao kwa sababu uzalendo wenu ni sifuri mnapenda kumpamba mtu sifa za kila aina akiwa kwenye mamlaka akishatoka anakuwa takataka,poor minded system.
 
Wachina waliijenga na wanaendelea kuijenga nchi yao...Na sisi tujenge ya kwetu

Yaani kati ya vitu huwa tunajidanganya ni kudhani Wachina wana moyo mweupe wa kutusaidia...

Sisi "feizhou ren" huwa wanatuona takataka za mwisho
 
Tayari ile pocket money ya mil.358 imeelekezwa huko, tunasubiri hii tuliyoomba kusamehewa madeni tuielekeze nayo kujenga jiji la uvuvi la chato, mbona raha jamaniii.....
 
Njozi kama hizo alikuwa nazo Rais Mobutu Sese Seko. Lakini zilizimika zote mara tu alipotoka madarakani. Washauri wa kariku wa Mkulu epukeni kujipendekeza sana kwa kumpa ushauri uliokuwa fyongo.

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Hilo jiji lingepewa jina la Magu,hivi Tanzania anayoisemea kabudi ni ipi?Chato kuwa jiji kutamnufaisha Mtanzania mnyonge?
 
Tanzania ni jiwe.

Anatamani chato iwe kama majiji makubwa ya china ila ndo hivyo hakuna namna anakuna panapokunika.

Anajitutumua kuipendelea chato kadri awezavyo.

Nna uhakika bandari ya Bagamoyo ingekua chato angekubali ijengwe haraka sana.
Kikwete alitaka kujenga jiwe akasimamisha,kama ingekuwa Chato naamini hata kupitisha mizigo Dar kungepigwa marufuku,ingeamuliwa ipitie Chato
 
Ww jamaa una chuki sana na kaskazini,hujaona miji mingine kama Mwanza,Mbeya au hata Dodoma? Unajikomba sana punguza usoro bas
Mbona Arusha na Moshi mnapambana muifikie Carfonia?!

Acheni wivu wa kishamba bhana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…