Profesa Kabudi: Tanzania inatamani sana Chato ifanane na majiji makubwa ya China ambayo awali yalikuwa ni vijiji vya wavuvi!

Profesa Kabudi: Tanzania inatamani sana Chato ifanane na majiji makubwa ya China ambayo awali yalikuwa ni vijiji vya wavuvi!

Huenda baadhi ya maprof hula mimea iliyozuiliwa - ni kwa aliyesoma kitabu cha kivuli kinaishi atagundua mengi
 
Tanzania aliyoitaja Kabudi ni ipii..!? Au tamaa za mtu mmoja zimekua za Taifa..!!?

How did he become a professor anyway!!?

Usisahau aliokotwa jalalani, yungali bado ana uchafu wa jalalani ndani ya kichwa chake!!! Kila siku anaota kumuimbia JIWE mapambio.
 
Baada ya miaka 10 tena utarudi Tena kuwa kijiji
 
baada ya BOT kufanya umafia kwa ile benki ya kichina waziri wa china kaja kukomboa pesa ya wachina kwa kizawadi kidogo
 
Inawezekana Tu Mbona Chattel Kuwa Kama Beijing
Mbona JK Aliweza Kigoma Sasa Hivi Ni Kama Dubai
Mwanri Wakati Wake Kaiacha Tabora Kama Toronto



Tungempa Rungwe Angeleta Bahari Dodoma Na Uhakika Wa Ubwabwa. Bahari Ingepita Mikoa Hii Pwani, Morogoro
Manufaa Yangekuwa Makubwa Sana!!
 
Sidhani kama umewaza kwa kutumia kichwa, na kwavile mawazo yenu yame egemea hasi kwa kila kitu basi huwezi kumuelewa kabudi anachomaanisha.
Na kama wewe ni msimi pia ni kijana basi nchi hii hatuna watu wa kuleta mapinduzi ya kiuchumi na mabadiliko ya nchi, mara nyingi mnawaza matumbo yenu yashibe kwanza.
Na ndio maana hamkosi vitambi wakati uhakika wa maisha ni mdogo.
Hii ndiyo jf bhana.
Yani mtu amekaa tu kwenye keyboard ameshaona kua nina kitambi ameshaona, sina uhakika wa maisha, ameshajiona yeye ndo mleta mapinduzi yakiuchumi Tanzanian.

Sasa sijui tusemeje, nadhani nawewe utakua professor, maana inaonekana ni maprofesa tu ndo wanaelewa kua Tanzania inatamani chato iwe vile
Hongera mkuu.

Acha mie muwazia tumbo niongeze kitambi
 
Kabudi Historia haitamuonea huruma, anayoyafanya hayafanani na mtu msomi kama yeye. Amekuwa ntu anayetumika TABLE MATES au an ERAND BOY IF THE WORST KIND.
 
Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.

Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.

Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.

Chanzo: Upendo tv

Maendeleo hayana vyama!
Kabudi mpaka ametusahau na sisi wa KILOSA????
 
Nilipata fursa ya kupiga stori na mtu mmoja leo, na haya ndo aliyasema.
"Wafanya biasahara wa chato wapo kwenye wakati mgumu kuliko ilivyowahi kuwa kabla na wengine wanalqzimika kuhama, maana ulinzi wa nyumani kwa raisi umekuwa kero kwao, kuna barabara inapita jirani na nyumbani kwao, imegeuka shubiri kwani watu wanakaguliwa kuliko hata wahamiaji kharama, japo kuwa ni wapita njia tu na hawana lolote zaidi ya bidhaa zao"
 
Ni kawaida ya watawala awamu ya pili kujitengenezea kwao Ili kujiandaa kustaafu
 
😆😆 wana siasa wetu bwanaa walikuwa wqna semaga Singapore miaka ya 1960 ilikuwa kama Tz, ss naona wako specific Chato iwe kama china ...hiki kali
 
Back
Top Bottom