Naunga mkono hoja,hasa Hilo la bandari ya Bagamoyo.Huenda kukawa na re-negotiationJicho la tatu linaniambia haya:
Ile simu imeanza kufanyiwa kazi.
SGR hiyo kwa wachina
Bandari ya Bagamoyo nayo iko mbioni, na kadhalika.
Ni swala la muda tu mkuu usemayo kutimia.Deni la Taifa hilooooo lakini linafichwa eti TUNAKOPESHEKA. Deni Sasa ni trillioni 80 ngoja haya machina yamwage mikopo zaidi kisha yanaamua kuichukua TRA kukusanya kodi kwa kuwa Nchi imeshindwa kulipa mikopo yao. Yaliyotokea Sri Lanka, Zambia na kwingineko sasa yanainyemelea Tanzania.
Mzee wa nega!Ni swala la muda tu mkuu usemayo kutimia.
Prof Kabudi amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa kutoka China ukiongozwa na Waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo.
Ziara hiyo itakuwa na manufaa makubwa kwa nchi yetu ambayo ina mkataba wa urafiki na China uliosainiwa na Mwalimu Nyerere miaka 55 iliyopita, amesema Prof Kabudi.
Source Eatv habari!
Maendeleo hayana vyama!
Dawa yako ni kukupuuza tu maana hiyo IQ yako inakusaidia wewe tuWewe inakuhusu Ubelgiji!
We mburula unajua maana ya ubeberu?Kwa hivyo wachina sio mabeberu?
Kuna fuse haziko sawa sawa kichwani mwa Kabudi.
Africa: China's China? | Delivered. | Global - DHL
But now Chinese firms are increasingly outsourcing production to African countries in the face of China's (and Asia's) steadily mounting average wage bill. Hence the likes of Ethiopia, which, with a population predicted to exceed 100 million by 2018, offers a massive potential factory workforce
IGP atakuwa mchina kama ZambiaJicho la tatu linaniambia haya:
Ile simu imeanza kufanyiwa kazi.
SGR hiyo kwa wachina
Bandari ya Bagamoyo nayo iko mbioni, na kadhalika.
JK atakuwa anechaka tu huko aliko na kujisemea kiko wapi sasa!
Baada ya Mungu, ni muda- imani yangu.
Hey, hivi wataenda na kwa tundulissu Ubalozini? Alisema sisi ni skunk hata Machina hawatutaki. Kama hayupo tutumie utaratibu ule ule wa majuzijuzi na mabloger wa EUProf Kabudi amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa kutoka China ukiongozwa na Waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo.
Ziara hiyo itakuwa na manufaa makubwa kwa nchi yetu ambayo ina mkataba wa urafiki na China uliosainiwa na Mwalimu Nyerere miaka 55 iliyopita, amesema Prof Kabudi.
Source Eatv habari!
Maendeleo hayana vyama!
Sielewi unazungumzia kitu gani hapa.Tujue tu kwamba vitu vyote ambavyo Nyerere aliiga kutoka China havikifanikiwa na azimio la Arusha lilikufa. Hata huko Chima ilibidi waingie kwenye ubepari kinamna. Mkisema miaka 55 sio sawa maana China ile sio China hii wakati ule kulikuwa na vita baridi
Leo hii nilikuwa nazungumza na Mzimbabwe mmoja mwanauchumi, akasema, 'the day you see many chinese in a poor country, that country is finished. In Zimbabwe, sanctions paralyzed the nation, Chinese killed and buried it'Wewe una lolote? Unafurahia wachina kuja Tanzania?Mugabe waliokuwa wanampa kiburi ni hao hao mwisho wakammalizia tembo nchini kwake,very stupid.