Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Huo urafiki wa nchi yetu na china wa miaka 55 sioni Kama uko na tija kwa upande wetu maana wao ndio wenye kufaidika nao.
Sisi tunaendelea kua nyuma yao wao wanaendea tena mwa mgongo wetu.
Kama huo urafiki ungalikua ni urafiki usio wa kupakana mafuta kwa mgongo chupu leo tungekua tunaongea lugha nyingine.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sisi tunaendelea kua nyuma yao wao wanaendea tena mwa mgongo wetu.
Kama huo urafiki ungalikua ni urafiki usio wa kupakana mafuta kwa mgongo chupu leo tungekua tunaongea lugha nyingine.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app