Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

tuwekee video ya maneno haya mimi sina imani na hayo maelezo ya gazeti moja.
Amini ndugu, maana angelikuwa amelishwa maneno hayo angelikuwa amekwisha kanusha au kwenda mahakamani, huyu ni mwanasheria ujue.
 
Akiri pia kwamba alikosea sana sana kumuita jiwe Mungu
 
Tangu gazeti la JAMHURI litoe kinachoitwa Kauli ya Profesa Kabudi kuhusiana na suala la Trilioni 360 kuwa lilishamalizika kuna kila dalili za kuwepo sintofahamu na upotoshaji mkubwa kuhusiana na kauli hiyo.

Watanzania wengi wamepaza sauti kutaka kuletewa uthibitisho wa kauli hiyo ama video au sauti inayomuoyesha Kabudi akisema maneno hayo lakini badala yake tunaona vikundi vya watu mbalimbali vikijadili kinachoitwa kauli ya kaudi.

jambo la kushagaza video za lisu, mpina na mwigulu zinaletwa tunawasikia wamesema nini kuhusiana na suala hilo, kwanini balile ameshindwa kuleta clip inayomuonyesha kabudi akisema hayo?
 
Sitofahamu imeleta simanzi baada ya kukili kwamba matrioni ya Dola yaliyokuwa anadaiwa na Serikali dhidi ya acacia ni batili.

Profesa ulimdanganya marehemu Rais Magufuri na watanzania kuhusu Dili la makinikia inabidi utoae ufafanuzi wa kina au ushitakiwe.
 
 
Anaendelea kuwa mmoja wa mawaziri wakuu bora katika nchi hii.
 
  • CCM...Chama kile kile
  • CCM...Watu wale wale
  • CCM...Ujinga ule ule
  • CCM...Unafiki ule ule
CCM mbele kwa mbelee...kazi iendelee!
 
  • CCM...Chama kile kile
  • CCM...Watu wale wale
  • CCM...Ujinga ule ule
  • CCM...Unafiki ule ule
CCM mbele kwa mbelee...kazi iendelee!
Ccm wanaakili na mipango zaidi ya CHADEMA chama cha kikabila,Kidini, Kiusharati na maa LGBT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…