Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampiga mpaka li profesel.duh kapuya sio wakigoma uyu?🤣🤣🤣🤣yule muhaya wa mradi wa vanilla amekaa kipigaji sana
Kapuya Ni wa mufindi Iringa Kama sijakoseaKampiga mpaka li profesel.duh kapuya sio wakigoma uyu?
Nimecheki uyu mnyamwenzi ,urambo ukoKapuya Ni wa mufindi Iringa Kama sijakosea
Okay,kishamkuta kituNimecheki uyu mnyamwenzi ,urambo uko
Anazo za kutosha za mchezo,acha apigwe tu,akili ikae sawaOk
Okay,kishamkuta kitu
Kwani nae bado ni mlamba asali?Anazo za kutosha za mchezo,acha apigwe tu,akili ikae sawa
Amekua mbunge karibu miaka 20 na bado waziri miaka kibao,bado asali anayo ya kutosha uyoKwani nae bado ni mlamba asali?
Basi aliyepiga amefanya vyema!Amekua mbunge karibu miaka 20 na bado waziri miaka kibao,bado asali anayo ya kutosha uyo
Sio Tabora?Kapuya Ni wa mufindi Iringa Kama sijakosea
Naona watu mnakoment pasipo kuangalia video..hili ndo tatizo.. kapuya kasema karudishiwa pesa yake kidogodogo hadi ikaishaHuyu dingi alizingua sana ile tuhuma ya kubaka kadogo na kukaambukiza ngoma. Ni vyema sana anavyoliwa.
Yule sio Mhaya ni Mnyiha wa porini Mbozi huko ndani ndani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yule muhaya wa mradi wa vanilla amekaa kipigaji sana
Watu wa Mufindi ni wajanja wewe,huyo ni mnyamwezi wa porini hukoKapuya Ni wa mufindi Iringa Kama sijakosea
Dubai huko wana chill 😁😁Kapuya karudishiwa Milioni 15 yake lakini wanyonge wamepigwa karibu bilioni 15 na matapeli wanatamba Tu