Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kwaio mpk mtu ana bukua na kua prof.Wajinga waliwao
Wajinga hawaishi
Ova
Still Bado ujinga unakua haujatokaaa....😊😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaio mpk mtu ana bukua na kua prof.Wajinga waliwao
Wajinga hawaishi
Ova
LimbukeniHapana, ni mtu mzima hovyo huyo, ona watu wengine kwenye hiyo picha kama kuna wa rika lake
Ni kaliua, na aliwahi kua mbunge wetu. Ajabu inasemekana ni Prof wa hizo mambo za kilimo, inakuje anapigwa kirahisi?[emoji1787][emoji1787]Nimecheki uyu mnyamwenzi ,urambo uko
Mnyamwezi, kaliua ndio kwao. Na aliwahi kua mbunge wa kaliuaKapuya Ni wa mufindi Iringa Kama sijakosea
Mkuu wewe wa kwetu kabisaaa. Umepajua hadi ulindwanoni[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Muongo
Tabora kaliua ulindwanoni.
Kwahiyo unataka kusema sisi wa kaliua ndio tuna hizi?.hatuku mtuma kapuya kufanya hayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuwa Profesa siyo big deal. Ni ualimu tu sawa na wa shule ya msingi, ila huu ni wa chuo kikuu.Ni kaliua, na aliwahi kua mbunge wetu. Ajabu inasemekana ni Prof wa hizo mambo za kilimo, inakuje anapigwa kirahisi?[emoji1787][emoji1787]