Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Sawa mkuu Mungu akupe Nguvu!Nimecheka balaaa. Ntakukumbuka aisee. Believe me. [emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1540][emoji1540]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu Mungu akupe Nguvu!Nimecheka balaaa. Ntakukumbuka aisee. Believe me. [emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1540][emoji1540]
Shukrani mkuuHapana ndugu yangu!
Ila karibu kaliua
Huyu ni mnyamwezi aliongoza jimbo la kaliua kama mbunge Zaidi ya mara nne au tanoKapuya,kapombe,huyu msukuma au mnyamwezi
Huo mchezo ni wa hao viongoz
Nan achukue hatua sasa wanatuma watu wachezeshe kwa niaba yao kama hujui
Qnet,kalynda na wengine michezo ya vigogo hiyo
Huyu Peofesa ni mpumbavu sana na avuliwe u-Profesa na chuo kilichompa hadhi hiyo.Matukio ya watu kutapeliwa kwa njia ya Upatu yamekuwa yakishamiri nchini na hii inahusishwa zaidi na ndoto za baadhi ya watu kutaka kutajirika kwa haraka huku wanaotajwa kuwa wasimamizi wa miradi hiyo wakitumia mbinu za ushawoshi
View attachment 2588075
Anaitwa Mkondya, ni tapeli wa kimataifaYule sio Mhaya ni Mnyiha wa porini Mbozi huko ndani ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa za wizi alozoiba serikalini bado hariziki nazo anataka kucheza upatu lazima apigwe tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kapuya karudishiwa Milioni 15 yake lakini wanyonge wamepigwa karibu bilioni 15 na matapeli wanatamba Tu
Sana. Kama "Bijampola" tu🤣🤣🤣🤣yule muhaya wa mradi wa vanilla amekaa kipigaji sana
🤣🤣🤣🤣Shida sanaSana. Kama "Bijampola" tu
Hawa ndio Maprofesa uchwara!! Halafu huyu alikuwa waziri you just imagine nchi hii itaendelea kweli?Kampiga mpaka li profesel.duh kapuya sio wakigoma uyu?
Yeah! Ni mbunge wa urambo taboraKwani nae bado ni mlamba asali?
Fedha yoyote ikipatikana kwa njia za janjajanja huwa lazima irudi ilikotoka kwa namna usizojuaMatukio ya watu kutapeliwa kwa njia ya Upatu yamekuwa yakishamiri nchini na hii inahusishwa zaidi na ndoto za baadhi ya watu kutaka kutajirika kwa haraka huku wanaotajwa kuwa wasimamizi wa miradi hiyo wakitumia mbinu za ushawoshi
View attachment 2588075
Kapuya Ni wa mufindi Iringa Kama sijakosea
🤣🤣🤣Uchokozi
Hapana, ni mtu mzima hovyo huyo, ona watu wengine kwenye hiyo picha kama kuna wa rika lake🤣🤣🤣Uchokozi