proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Na yeye alizokula ni nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona hilo. Unafikiri atakubali kusema kapigwa?N
Naona watu mnakoment pasipo kuangalia video..hili ndo tatizo.. kapuya kasema karudishiwa pesa yake kidogodogo hadi ikaisha
Nakazia Sana SanaWajinga waliwao
Wajinga hawaishi
Ova
MuongoKapuya Ni wa mufindi Iringa Kama sijakosea
Kaliua Tabora Ndiyo AlipoMuongo
Tabora kaliua ulindwanoni.
Licha ya yote ni PhD HolderAmekua mbunge karibu miaka 20 na bado waziri miaka kibao,bado asali anayo ya kutosha uyo
Mzee wa altezaMuongo
Tabora kaliua ulindwanoni.
🤣🤣🤣🤣Umeandika kwa hisia Sana mwanakaliuaMuongo
Tabora kaliua ulindwanoni.
Nimesikia wadau wakisema hivyoSio Tabora?
Huo mchezo ni wa hao viongozSerikali haioni haya yote? Namaanisha angalau kuchukua hatua kwa wahusika iwe funzo kwa wengine?.
[emoji23]dah ndugu yangu!Mzee wa alteza
Hapana ndugu yangu![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeandika kwa hisia Sana mwanakaliua
Nimecheka balaaa. Ntakukumbuka aisee. Believe me. 🙌🏿🙌🏿🙌🏿😆😆😆👆🏿👆🏿[emoji23]dah ndugu yangu!
Nikumbuke kwa kufanya hata muamala sio kwa majanga tu
Kapuya,kapombe,huyu msukuma au mnyamweziKapuya Ni wa mufindi Iringa Kama sijakosea